Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Toa mifano katika hadithi ya mke wangu kudhihirisha nafasi ya mwanamke katika jamii

      

Toa mifano katika hadithi ya mke wangu kudhihirisha nafasi ya mwanamke katika jamii.

  

Answers


KELVIN
? Msomi kama vile wa mjini.
? Ananyimwa elimu kama vile wa shambani.
? Ana uhuru kama vile Fedhele.
? Anathamini kazi na kuichukulia kama kipimo cha utu.
? Ana usemi k.m. Aziza.
? Mtamaaduni kama vile Salma na mamake msimulizi ambaye anamyependekezea mke.
? Mwacha mila kama vile Fedhele anayevaa kanzu hadi mapajani.
? Hana ubaguzi kama vile Aziza hambagui muuza madafu.

kalvinspartan answered the question on August 15, 2018 at 12:19


Next: Jadili maudhui ya elimu kama yanavyo dhihirika katika hadithi ya mke wangu
Previous: Ubaguzi unajitokeza vipi katika hadithi fupi ya mke wangu?

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions