Tashbihi
? Uko chini ya wazee wako kama mtoto anayenyonya-Aziza kwa msimulizi.
? Ngozi yake ilivyokacha utadhani msasa-ngozi ya aziza kuwa ngumu kwa kazi za mikono za shambani.
Takriri
? Muuza madafu amevaa kanzu mararu mararu.
? Hebu! Hebu! Aziza akimnyamazisha Seluwa ahakikishe ni sauti ya muuza madafu amesikia.
? Dafu! Dafu! –Sauti ya muuza madafu kama alivyoisikia msimulizi.
? Najua wewe una fikra namna na namna-Msimulizi akimwambia Aziza.
kalvinspartan answered the question on August 15, 2018 at 12:24
-
Onyesha matumizi ya mbinu rejeshi katika hadithi fupi ya mke wangu
(Solved)
Onyesha matumizi ya mbinu rejeshi katika hadithi fupi ya mke wangu.
Date posted:
August 15, 2018
.
Answers (1)
-
Kwa kutoa mifano, onyesha matumizi ya nidaha katika hadithi ya mke wangu
(Solved)
Kwa kutoa mifano, onyesha matumizi ya nidaha katika hadithi ya mke wangu.
Date posted:
August 15, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza kasoro nne ambazo hutumika kwa ngomezi kama kipera cha fasihi simulizi
(Solved)
Eleza kasoro nne ambazo hutumika kwa ngomezi kama kipera cha fasihi simulizi.
Date posted:
August 11, 2018
.
Answers (1)
-
'Wapi kile kidume chako kioga? Nasikia ni mmoja wa wale waliotuuza. (1) Weka dondoo hili katika muktadha wake. (2)Oonyesha sifa nne mhusika aliyerejelewa kama 'kidume kioga'
(Solved)
'Wapi kile kidume chako kioga? Nasikia ni mmoja wa wale waliotuuza.
1)weka dondoo hili katika muktadha wake.
2)onyesha sifa nne mhusika aliyerejelewa kama 'kidume kioga'
Date posted:
August 11, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili dhana ya chozi katika chozi la heri
(Solved)
Jadili dhana ya chozi katika chozi la heri.
Date posted:
August 11, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza dhamira ya mwandishi katika hadithi ya kidege
(Solved)
Eleza dhamira ya mwandishi katika hadithi ya kidege
Date posted:
August 11, 2018
.
Answers (1)
-
Maudhui ya utamaduni yamedhihirishwa vipi katika hadithi ya mke wangu katika kitabu cha damu nyeusi
(Solved)
Maudhui ya utamaduni yamedhihirishwa vipi katika hadithi ya mke wangu katika kitabu cha damu nyeusi.
Date posted:
August 10, 2018
.
Answers (1)
-
Onyesha jinsi maudhui ya migogoro yalivyodhirishwa katika kitabu cha Damu Nyeusi katika hadithi ya mke wangu
(Solved)
Onyesha jinsi maudhui ya migogoro yalivyodhirishwa katika kitabu cha Damu Nyeusi katika hadithi ya mke wangu.
Date posted:
August 10, 2018
.
Answers (1)
-
Onyesha tofauti iliopo katika matumizi ya vitate T/D
(Solved)
Onyesha tofauti iliopo katika matumizi ya vitate T/D.
Date posted:
August 10, 2018
.
Answers (1)
-
Tunga neno kisha toa maana kuonyesha tofauti ya vitate P/B
(Solved)
Tunga neno kisha toa maana kuonyesha tofauti ya vitate P/B.
Date posted:
August 10, 2018
.
Answers (1)
-
Tambulisha katika sentensi tofauti ya vitate B/MB
(Solved)
Tambulisha katika sentensi tofauti ya vitate B/MB
Date posted:
August 10, 2018
.
Answers (1)
-
Bainisha tofauti ya matumizi ya vitate D/ND
(Solved)
Bainisha tofauti ya matumizi ya vitate D/ND.
Date posted:
August 10, 2018
.
Answers (1)
-
Onyesha matumizi tofauti ya vitate J/NJ
(Solved)
Onyesha matumizi tofauti ya vitate J/NJ.
Date posted:
August 10, 2018
.
Answers (1)
-
Thibitisha kwa kutungia sentensi matumizi tofauti ya vitate S/SH
(Solved)
Thibitisha kwa kutungia sentensi matumizi tofauti ya vitate S/SH.
Date posted:
August 10, 2018
.
Answers (1)
-
Thibitisha tofauti iliopo katika matumizi ya L na R
(Solved)
Thibitisha tofauti iliopo katika matumizi ya L na R.
Date posted:
August 10, 2018
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi kuonyesha matumizi tofauti ya th na dh
(Solved)
Tunga sentensi kuonyesha matumizi tofauti ya th na dh.
Date posted:
August 10, 2018
.
Answers (1)
-
Kwa kutungia sentensi onyesha matumizi ya sh na ch
(Solved)
Kwa kutungia sentensi onyesha matumizi ya sh na ch
Date posted:
August 10, 2018
.
Answers (1)
-
Kwa kutoa mifano onyesha tofauti ya matumizi ya V na F
(Solved)
Kwa kutoa mifano onyesha tofauti ya matumizi ya V na F.
Date posted:
August 10, 2018
.
Answers (1)
-
Bainisha utata wa CH NA J
(Solved)
Bainisha utata wa CH NA J
Date posted:
August 10, 2018
.
Answers (1)
-
Dhibitisha kwa kutolea mifano utata wa K na G
(Solved)
Dhibitisha kwa kutolea mifano utata wa K na G
Date posted:
August 10, 2018
.
Answers (1)