Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Maswali ya balagha yametumika vipi katika hadithi ya mke wangu

      

Maswali ya balagha yametumika vipi katika hadithi ya mke wangu.

  

Answers


KELVIN
? Mangapi umeng’olewa?-Aziza kuonyesha uduni wa mbinu za sasa za kutunzia meno anazotumia msimulizi.
? Sijui mimi nilikuwa narudi kutoka wapi vile?-wakati msimulizi alimuona fedhele usiku. Kinaya ni kuwa yeye pia alikuwa anatembea usiku na kachelewa kurudi nyumbani.
? Kitu kilichokufa kina uzima gani wa kukuhami wewe?-Aziza akidharau kiatu.
? Vipi mtu atafute kazi asipate?-Aziza kuonyesha mtu hawezi kukosa kazi hata kama ni ya kujiajiri.
? Basi wewe ndiye mume wa kunioa mie we?-Aziza hamchukui msimulizi kuwa mumewe kwa kukosa kazi.

kalvinspartan answered the question on August 15, 2018 at 12:25


Next: Kwa kutolea mifano, onyesha matumizi ya tashbihi na takririr katika hadithi ya mke wangu
Previous: Onyesha jinsi nahua na methali zimetumika katika hadithi fupi ya mke wangu kwa kutoa mifano

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions