-
Sahihisha
Ndegwa alipeana kalamu yake kwa mwanafunzi.
Date posted:
January 16, 2018
-
Andika kwa usemi halisi:
Yule mshukiwa aliyekamatwa na polisi alisema kuwa papo hapo ndipo alipoficha ule mku
Date posted:
January 16, 2018
-
Taja tofauti iliyopo kati ya sauti /f/ na /v/
Date posted:
January 16, 2018
-
Sababu za kubadilisha msimbo na athari zake.
Date posted:
January 13, 2018
-
Taja aina mbili za mofimu na kwa kila toa mfano
Date posted:
December 29, 2017
-
Ni nini maana na umuhimu wa miviga katika jamii?
Date posted:
December 24, 2017
-
Kwa kutolea mifano,eleza sifa zozote nne za kimsingi za sajili inayoweza kutumika darasani
Date posted:
December 15, 2017
-
Taja nadharia zozote mbili zinazohusiana na chimbuko la lugha ya kiswahili
Date posted:
December 15, 2017
-
Eleza matumizi matatu ya kiambishi -po.
Date posted:
December 14, 2017
-
Jadili dhamira ya mwandishi katika Tamthilia ya Kigogo.
Date posted:
December 14, 2017
-
Eleza tofauti baina ya kitenzi kishirikishi kikamilifu na kipungufu.
Date posted:
December 13, 2017
-
Eleza aina sita za sentensi kiuamilifu ukizingatia Kiimbo.
Date posted:
December 13, 2017
-
Eleza uhusiano uliopo baina ya fonetiki na fonolojia
Date posted:
December 11, 2017
-
Eleza maana ya mbinu ya tashtiti
Date posted:
December 10, 2017
-
Eleza maana tatu za sentensi hii: Wanafunzi wengine wamefika.
Date posted:
December 9, 2017
-
Ainisha viambishi katika neno amchaye
Date posted:
December 9, 2017
-
Taja sauti mbili ghuna zinazotamkika kwenye kaakaa laini
Date posted:
December 9, 2017
-
Tunga sentensi ukitumia kirejeshi kisisitizi cha wastani katika ngeli ya KU-KU
Date posted:
December 9, 2017
-
Tunga sentensi ya neno moja yenye vijenzi vifuatavyo
i)kikanushi
ii)Kiima katika nafsi ya tatu umoja
iii)Mtendewa katika nafsi ya tatu umoja
iv)wakati uliopita
v)mzizi wa kitenzi
vi)kauli ya kutendea
Date posted:
December 9, 2017
-
unga sentensi tofauti tofauti ukitumia neno 'haya' kama
i)Kivumishi
ii)Jina
iii) kiwakilishi
Date posted:
December 9, 2017
-
Kanusha katika wingi:
Uliko ndiko kuliko navyo
Date posted:
December 9, 2017
-
Vinyambue vitenzi hivi katika hali ya kutendesha:
Tota
Ogopa
Date posted:
December 9, 2017
-
Tunga sentensi kubainisha maana tofauti ya maneno haya:
Dalili
Dhalili
Date posted:
December 9, 2017
-
Tumia neno maskini kama kihisishi na Kivumishi
Date posted:
December 9, 2017
-
Tofautisha kati ya mofimu na kiambishi
Date posted:
December 9, 2017
-
Toa mfano wa neno lenye silabi funge
Date posted:
December 9, 2017
-
Ngeli ya U-ZI ina miundo mbalimbali katika umoja na wingi.Onyesha mabadiliko hayo huku ukitoa mifano katika kila mojawapo.
Date posted:
December 9, 2017
-
Tunga sentensi ukitumia kihusishi 'katika' kuleta dhana ya hali
Date posted:
December 9, 2017
-
Tumia kitenzi vua katika sentensi kama
(i)Kishazi tegemezi
(ii)Kishazi huru.
Date posted:
December 9, 2017
-
Tambua kijalizo katika sentensi ifuatayo: Mwalimu Majisifu alikuwa mwalimu
Date posted:
December 9, 2017