-
Andika katika ukubwa wingi.
Njia hii inafaa zaidi kuliko ile.
Date posted:
September 21, 2019
-
The figure below A=62° B = 41° BC=8.4cm and CN is the bisector of ACB
Calculate the length of CN to l decimal place.
Date posted:
September 21, 2019
-
Andika methali inayotumiwa kutuhimiza kuthamini vitu viliyo karibu kwani ndivyo vitufaavyo wakati wa janga.
Date posted:
September 21, 2019
-
Unda kitenzi kutokana na nomino;
abiria
Date posted:
September 21, 2019
-
Kanusha katika wakati ujao hali timilifu.
Bwana arusi alivaa suti ya kupendeza.
Date posted:
September 21, 2019
-
Andika kitenzi kifuatacho katika hali ya kuamrisha kwa wingi.
(-la).
Date posted:
September 21, 2019
-
Bainisha aina za nomino zilizotumika katika sentensi ifuatayo.
Wema alimpa mtoto yule maji ya baraka.
Date posted:
September 21, 2019
-
Use mathematical tables to evaluate.
Date posted:
September 21, 2019
-
Ainisha uamilifu wa viambishi katika neno lifuatalo.
Alimlilia.
Date posted:
September 21, 2019
-
Eleza maana ya buda.
Date posted:
September 21, 2019
-
Tofautisha kwa kueleza maneno ya istilahi zifuatazo.
(i) Silabi funge
(ii) Silabi mwambatano
Date posted:
September 21, 2019
-
Bainisha silabi katika neno lifuatalo.
Nyweshwa.
Date posted:
September 21, 2019
-
Andika sifa mbilimbili bainifu za sauti.
/gh/
/a/
Date posted:
September 21, 2019
-
Soma makala haya kisha ujibu maswali yanayofuata.
Je, mtazamo hasi ni nini? Huwa na athari gani kwa binadamu? Mtazamo hasi ni kukata tamaa, kutamauka kuhusu hali, mtu au jambo fulani. Ni hisia ya kutotaka kushiriki wala kuhusishwa na jambo au hali fulani. Mtazamo huu ndio huwafanya wanafunzi wengi kuchukia au hata kudunisha baadhi ya masomo na walimu wanaoyafundisha. Licha ya wengi kuwa na mtazamo huu, kwa kweli huwa hawatambui. Asilimia kubwa ya wanaotambua hutatizika kujikwamua kutoka katika hali hii.
Inakadiriwa kwamba mtu wa wastani huwa na takribani mawazo elfu sitini ya kibinafsi kwa kila saa 24. Asilimia 95 ya fikra hizi huwa sawa na siku iliyotangulia, na asilimia 80 ya fikra hizi zilizorudiwa huwa hasi. Isitoshe, fikra hizi nyingi hutokea bila mtu mwenyewe kutambua na huwa ni mazoea. Hii ina maana kwamba watu wengi hawana ufahamu wa athari za fikra hizi maishani mwao.
Mitazamo hasi ina vyanzo na pia suluhu. Mwanzo kabisa ni imani potovu. Hiki ndicho chanzo cha mitazamo hasi. Kushikilia imani potovu kuhusu maisha pamoja na matukio fulani maishani hujenga mtazamo hasi. Unayaona maisha kwa macho ya imani zako na iwapo imani hizo ni potovu, basi hutayathamini maisha yako ili kukabiliana na hali hii, sharti kwanza ubadili imani yako. Uamini kwamba mabadiliko yanaweza kutokea na uchukue hatua ya kuanzisha mabadiliko hayo maishani mwako. Unahitaji kuepuka fikra hasi zinazoambatana na maisha yako ya awali na kulithamini kila tukio maishani kama tukio huru; Lisilo na uhusiano na yaliyowahi kukutamausha.
Kujikwamua kutoka katika imani duni unahitaji kuibuka na idadi kubwa ya imani chanya kuliko zilizo hasi kuhusu hali mahsusi. Baada ya hilo, zikabili imani zako potovu moja baada ya nyingine huku ukijiuliza endapo imani hizo ni kweli na endapo zina mashiko. Tumia dakika tano hivi kila siku kushadidiafikra chanya inayokinzana na ile inayokudidimiza. Ukifanya hivi kwa takriban siku thelathini imani yako itaanza kuchukua mkondo unaofaa. Familia yako na rafiki unaoandamana nao huathiri pakubwa hisia zako. Wakiwa na mtazamo hasi huweza kukushawishi ukaanza kuhisi wanavyohisi na kuyaona mambo kwa mtazamo wao. Kukabiliana na hali wapaswa kudhibiti hisia zako.
Tawala namna unavyohisi na kukabiliana na hali mbalimbali bila kuathiriwa na wandani hawa. Epuka wandani wa aina hii kadri inavyowezekana, ikiwezekana, jitenge nao ili ujifunze kuwa na uhuru wa kufanya maamuzi yako binafsi bila kuathiriwa nao. Unapaswa kupunguza ushirika hata na jamaa zako wanaokuingiza katika hali ya kutamauka. Punguza muda wa kukaa nao hasa wanapogeukia mkondo huu wa kukutatiza tamaa.
Mazingira hasi ni kizingiti kingine. Pengine huoni ukuruba baina ya maisha yako na mazingira unamokulia au unamokaa. Ukweli ni kwamba, huenda umedumu katika mazingira hayo na kuyazoea hata ukafikiri huwezi kuyabadilisha. Kadri unavyohisi huna uwezo wa kuyabadilisha ndivyo unajizamisha zaidi mtazamo hasi. Ili kukabiliana na hali hii, unahitaji kuelewa kwamba fikra zako au za watangulizi wako ndizo silikuingiza katika mazingira haya. Kwa hivyo, unapaswa kubadili mkondo wa fikra zako na kuanza kujaribu mazoezi ambayo umekuwa ukiyaona kama usiyoyaweza. Hatua kwa hatua utagundua panapo jitihada na uelekezi unaofaa kwamba mazoezi hayo yamekuwa mepesi na hivyo kukubakikishia kuyabadilisha mazingira yako.
unapojikuta ukilalamika jinsi ulivyokerwa na hali fulani, hii ndiyo sababu hasa ya kuwa na mtazamo hasi kuhusu hali hizo. Inaweza kukuwia vigumu kulikubali hili lakini kadiri utakavyolikubali mapema ndivyo utayaboresha maisha yako mapema. Kulalamika tu kutakudumisha katika hali zisizokuridhisha. Kwa hivyo, ili uyabadilishe maisha yako sharti ukome kulalamika tu kutakudumisha katika hali zisizokuridhisha. Kwa hivyo, ili uyabadilishe maisha yako sharti ukome kulalamika na kuanza kujikwamua toka kwenye hali hizo. Katika kufanikisha jambo lolote jema sharti viwepo vizingiti njiani. Mtendaji wa jambo lolote jema liwalo ana jukumu la kuibuka na mikakati mwafaka ya kuvikabili vizingiti hivi ili afanikishe ndoto yake. Hii ndiyo sababu unapaswa kuchukua hatua kutokea sasa ili kupanga na kutekeleza mikakati itakayoupindua mtazamo wako hasi uwe chanya. Kwa jinsi hii utayabadilisha maisha yako yawe ya kuridhisha zaidi na kuwa kielelezo kwa wengi waliotamaushwa na mitazamo hasi.
Maswali.
(a) Fupisha aya ya kwanza. (maneno 45-50)
(b) Eleza namna ya kukabiliana na mitazamo hasi. (maneno 70 - 80)
Date posted:
September 21, 2019
-
Two bags A and B contain red and blue balls.Bag A contains 2 blue balls and 3 red balls while bag B contains 3 blue balls and 2 red balls.A bag is selected at random and two balls picked without replacement.
a)use a tree diagram to illustrate the above information
b)use the tree diagram above to find the probability of picking
i)Balls of the same colour
ii)A red ball followed by a blue ball
iii)At least a blue ball
iv)One red ball
Date posted:
September 21, 2019
-
The 2nd and the 5th terms of an arithmetic progression are 8 and 17 respectively, the 2nd, 10th and the 42nd terms of the A.P form the first three terms of a geometric progression. Find.
a)The 1st term and the common difference of the A.P.
b)The first three terms of G.P and the 10th term of the G.P.
c)The sum of the first 10 terms of the G.P.
Date posted:
September 21, 2019
-
Income rates for income earned was charged as follows
Income in Kshs. Per month Rates in Kshs. Per Ksh.20
1 - 8400 2
8401 - 18000 3
18001 - 30,000 4
30,001 - 36,000 5
36,001 - 48,000 6
48,001 and above 7
An employee earns a monthly salary of Ksh.19,200 and is housed by the institution and pays a nominal rent of Kshs.2000 per month. His house allowance is Ksh. 12,000 per month, transport allowance Ksh.1,300 and medical allowance, Ksh.2,300.He is entitled to a family relief of Ksh.1240 per month. Determine
a)i)His taxable income per month.
ii)Net tax
b)In addition the following deductions were made;NHIF Ksh.230,service charge kshs.100,loan repayment kshs.4000,co-operative share kshs.1200.Calculate his net salary per month
Date posted:
September 21, 2019
-
Make k the subject of the formula.
Date posted:
September 21, 2019
-
Huku ukitoa mifano, bainisha mbinu mbili zinazotumiwa kuunda istilahi mpya katika jamii ya leo.
Date posted:
September 21, 2019
-
Fafanua jinsi mambo hafuatayo huweza kusababisha kutoweka kwa lugha:
i) Vita
ii) Ndoa za mseto
Date posted:
September 21, 2019
-
Eleza sababu nne zinazowafanya vijana kupenda kutumia sheng' katika mawasiliano yao.
Date posted:
September 21, 2019
-
Andika methali inayoafiki maelezo:
Hakuna chema kisichokuwa na madhara.
Date posted:
September 21, 2019
-
Rationalize the denominator fully and simplify, leaving your answer in surd form
Date posted:
September 21, 2019
-
Andika sentensi ifuatayo upya kwa kufuata maagizo.
Mama anapika kutwa kwa sababu ya wageni (Tilia mkazo kwa kinyume)
Date posted:
September 21, 2019
-
The figure below shows a triangle ABC inscribed in a circle.AC = 10cm BC = 7cm and AB = 10cm.Find the radius of the circle(leave your answer to the nearest 1 decimal place)
Date posted:
September 21, 2019
-
A TV set was bought on hire purchase. A down payment (deposit) of Kshs.5000 was paid and a 15 monthly installment of Kshs. 1500 was required.
a)Calculate the total amount paid on hire purchase
b)If the hire purchase payment is 20% more than cash payment, find the cash price
Date posted:
September 21, 2019
-
Kanusha sentensi ifuatayo katika hali ya mazoea.
Amekuja hapa.
Date posted:
September 21, 2019
-
Nomino zifuatazo zimo katika ngeli gani?
(i)Siwa
(ii)Kipunye
Date posted:
September 21, 2019
-
Changanua vipashio vya kisarufi katika kiarifa cha sentensi ifuatayo.
Hawa ndio waliopigana.
Date posted:
September 21, 2019
-
Tunga sentensi mbili tofauti kudhihirisha kuwa neno "bunda" ni kitawe.
Date posted:
September 21, 2019