Get premium membership and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.
Got a question or eager to learn? Discover limitless learning on WhatsApp now - Start Now!

Lswa 105:Historia Ya Kiswahili Question Paper

Lswa 105:Historia Ya Kiswahili 

Course:Elimu

Institution: Kenya Methodist University question papers

Exam Year:2012



CHUO KIKUU CHA KIMETHODISTI, KENYA

MTIHANI WA MWISHO WA TREMESTA YA TATU, (MCHANA) 2012
KITIVO : ELIMU NA SAYANSI YA JAMII
IDARA : ELIMU
KODI : LSWA 105
ANWANI : HISTORIA YA KISWAHILI
MUDA : SAA MBILI




Maagizo:

Jibu maswali matatu

Swali la kwanza

Fafanua nadharia tatu zinazoelezea chimbuko la Kiswahili.

(alama 15)

Eleza upungufu wa nadharia inayodai kwamba Kiswahili ni lugha ya mseto.

(alama 5)

Swali la Pili
Wafanya biashara waarabu walifanikiwa kueneza Kiswahili nchini Tanganyika kuliko nchini Kenya. Thibitisha madai haya kwa kutoa mifano mwafaka. (alama 20)

Swali la tatu
Elaza maana ya usanifishaji kisha ufafanue hatua muhimu ambazo hufuatwa wakati lugha inaposanifishwa. (alama 20)

Swali la Nne

Tathmini malengo ya kamati ya Kiswahili ya Afrika Mashariki. (alama 10)

"Kiswahili kinahitaji kusanifishwa upya" Jadili kauli hii.

(alama 10)

Swali la Tano
Elaza jinsi sera ya lugha nchini Tanzania ilivyosaidia lugha ya Kiswahili kuenea. (alama 20)






More Question Papers


Popular Exams



Return to Question Papers