Hurafa-ni hadithi ambazo wahusika huwa ni wanyama wanaowakilisha matendo sawa na binadamu katika ulimwengu halisi.
Visasili-ni hadithi ambazo huonyesha vyanzo vya matendo au tabia.kwa mfano kwa nini nyoka hana miguu,chanzo cha kifo.
Visakale-ni hadithi ambazo huonyesha matendo ya kihistoria katika jamii.kwa mfano fumo liyongo ambaye ni anapigana kuikomboa jamii.Luanda magere katika jamii ya waluo.
Ngano za mazimwi-ni aina ya hadithi inayowazilisha ujumbe kutumia viumbe wenye uwezo mkubwa na wenye kutisha katika jamii.kwa mfano majitu.
Hekaya-ni hadithi za mambo ya kijanja.kwa mfano hekaya za abunuwasi
Real Educator answered the question on April 18, 2018 at 13:12
-
Eleza maana ya hurafa
(Solved)
Eleza maana ya hurafa.
Date posted:
April 12, 2018
.
Answers (1)
-
Taja aina za wahusika katika fasihi simulizi.
(Solved)
Taja aina za wahusika katika fasihi simulizi.
Date posted:
April 12, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza dhima ya fasihi simulizi
(Solved)
Eleza dhima ya fasihi simulizi.
Date posted:
April 12, 2018
.
Answers (1)
-
Taja Vipengele muhimu Katika uwasilishaji wa fasihi simulizi
(Solved)
Taja Vipengele muhimu Katika uwasilishaji wa fasihi simulizi.
Date posted:
April 12, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya semi
(Solved)
Eleza maana ya semi
Date posted:
April 11, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya Ngomezi
(Solved)
Eleza maana ya Ngomezi.
Date posted:
April 11, 2018
.
Answers (1)
-
Fafanua aina zozote kumi za migogoro ijitokezayo katika tamthilia ya kigogo
(Solved)
Fafanua aina zozote kumi za migogoro ijitokezayo katika tamthilia ya kigogo
Date posted:
April 10, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza umuhimu wa hadithi
(Solved)
Eleza umuhimu wa hadithi.
Date posted:
April 9, 2018
.
Answers (1)
-
Maudhui ya elimu katika Kidagaa
(Solved)
Maudhui ya elimu katika Kidagaa.
Date posted:
April 8, 2018
.
Answers (1)
-
Fafanua miundo yoyote saba ya silabi za Kiswahili
(Solved)
Fafanua miundo yoyote saba ya silabi za Kiswahili
Date posted:
April 7, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili maudhui ya tamaa katika tamthilia ya Kigogo
(Solved)
Jadili maudhui ya tamaa katika tamthilia ya Kigogo.
Date posted:
April 6, 2018
.
Answers (1)
-
Taja na ueleze aina mbili za usikilizaji
(Solved)
Taja na ueleze aina mbili za usikilizaji.
Date posted:
March 29, 2018
.
Answers (1)
-
Uakifishaji ni nini?
(Solved)
Uakifishaji ni nini?
Date posted:
March 29, 2018
.
Answers (1)
-
Mawasiliano ni nini?
(Solved)
Mawasiliano ni nini?
Date posted:
March 29, 2018
.
Answers (1)
-
Misimu ni nini?
(Solved)
Misimu ni nini?
Date posted:
March 27, 2018
.
Answers (1)
-
Tenga viambishi tamati katika neno: kupiganishia
(Solved)
Tenga viambishi tamati katika neno: kupiganishia
Date posted:
March 26, 2018
.
Answers (1)
-
Je, ni sababu zipi zilizopelekea kusanifishwa kwa kiswahili?
(Solved)
Je, ni sababu zipi zilizopelekea kusanifishwa kwa kiswahili?
Date posted:
March 23, 2018
.
Answers (1)
-
kiswahili ni lugha ya kibantu. Jadili.
(Solved)
Asili ya lugha ya Kiswahili
Date posted:
March 22, 2018
.
Answers (1)
-
Toa maana mbili ya neno kinyonyoke.
(Solved)
Toa maana mbili ya neno kinyonyoke.
Date posted:
March 20, 2018
.
Answers (1)
-
Taja lahaja za Kiswahili na mahali zinakozungumzwa.
(Solved)
Taja lahaja za Kiswahili na mahali zinakozungumzwa.
Date posted:
March 4, 2018
.
Answers (1)