Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Eleza maana ya neno ulumbi

Eleza maana ya neno ulumbi.

Answers


Ladesha
Huu ni uhodari wa kutumia lugha kwa ufundi wa kipekee, ni utangulizi wa lugha kwa mvuto na ufasaha. Ulumbi huwezesha mtu kulieleza jambo la kawaida kwa namna ambavyo linaonekana kuwa geni kabisa na kuwashawishi watu kulikubali au kulipenda.

AMA

Ulumbi ni uwezo wa kipekee wa kuzungumza mbele ya hadhira.
Ladesha answered the question on April 18, 2018 at 18:18

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions