
a. Watawala
Watawala wengi kwa jumla hawakupendelea Kiswahili. Kwa mfano, mwaka wa 1900 Charlse Elliot aliyekuwa Gavana wa Kenya alipendekeza na kuhimiza matumizi ya lugha ya asili katika utawala badala ya Kiswahili.
Moja ya nguzo ya ukoloni ilikuwa ni siasa ya ubaguzi. Kulikuwa na shule za wazungu, Wahindi, waarabu na Waafrika. Lugha ya kufundisha katika shule za Waafrika ilikuwa ni lugha za kiasili huku Kiswahili kikifundishwa kama somo tu.
Tume baada ya tume za uongozi zilipinga matumizi ya Kiswahili isipokuwa katika maeneo yaliyotumia Kiswahili kwa wingi, mfano, tume ya Beecher 1942 ilipinga kabisa matumizi ya Kiswahili.
Hata hivyo, baadhi ya watawala wallitambua umuhimu wa Kiswahili na kikasanifishwa mwaka wa 1930 na kuanza kupata umaarufu.
b. Wamisheni.
Wamisheni walishughulikia sana suala la elimu na suala la lugha ni moja 7ya masuala yaliyojitokeza katika elimu. Badhi ya madhehebu yalipinga matumizi ya Kiswahili kama lugha ya kufundisha aukueneza dini lakini wengine walikitumia. Madhehebu ya Kiluteri ndiyo yaliyopinga sana huku Wakatoliki wakitumia lugha ya Kiswahili.
Lugha ya Kiswahili ilipingwa kwa madai kuwa ilihusishwa na Uislamu na pia ilihusishwa sana na biashara ya wwatumwa. Jambo hili lilikwamiza maenezi yake.
c. Walowezi
Juhudi za watawala wa kikoloni zilikuwa ni kuifanya Kenya nchi ya wazubgu. Wazungu walijinyakulia mashamba na kuwa masetla au walowezi. Hawakutaka Waafrika wafundishwe Kiingereza wakisema itakuwa kama kujivua nguo. Waliona kama Waafrika wangetumia Kingereza kutetea haki zao. Walowezi hivyo walipendekeza matumizi ya Kiswahili ingawa pia hawakutaka kujifundisha Kiswahili sanifu kwani walikidunisha. Kutokana na hili, Kiswahili kikaanza kuhusishwa na Wasetla na Waafrika wakawa wanakichukia.
ESTHER STEVE answered the question on April 30, 2018 at 20:21
-
Jadili aina tatu za ‘maana’ huku ukizitolea mifano kutoka Kiswahili.
(Solved)
Jadili aina tatu za ‘maana’ huku ukizitolea mifano kutoka Kiswahili.
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Na ujenge nyumba yako, jingi jasho likuoshe,Ufyeke, upime na uweke nguzo,Kisha paa uweke na ukandike,Siku nyingi bila kuingiliwa na mgeni hutakaa.Wataanza kutalii mpaka mende usiku,Nje...
(Solved)
1. Na ujenge nyumba yako, jingi jasho likuoshe,
Ufyeke, upime na uweke nguzo,
Kisha paa uweke na ukandike,
Siku nyingi bila kuingiliwa na mgeni hutakaa.
Wataanza kutalii mpaka mende usiku,
Nje na ndani ya nyumba watazunguka,
Bila woga, bila ruhusa ulichonacho watakula,
Masalia yatakuwa yako, ijara ya kaziyo.
Na nyingi dawa uweke, nyumba nzima uihame,
Ukae nje nzima siku usubiri,
Wazima wamelala ukirudi usiku,
Vichwa vigumu hawafi mende rahisi.
Kifo cha mende sharti miguu juu
Kichwa ukikanyage kipasuke usikie,
Na kisha wengine usiku mchana uwasake.
Mpaka watakapokwisha. Usiseme nao.
Maswali
(a) (i) Hili ni shairi la aina gani? (alama 1)
(ii) Tetea jibu lako. (alama 3)
(b) Eleza jinsi mshairi alivyoutumia uhuru wake katika utunzi wa shairi hili. (alama 4)
(c) Taja mbinu mbili za lugha alizotumia mshairi na uzitolee mifano. (alama 4)
(d) Andika ubeti wa tatu kwa lugha nathari. (alama 4)
(e) Eleza ujumbe wa mshairi. (alama 2)
(f) Toa mfano mmoja wa mshata. (alama 1)
(g) Kichwa gani kinaliafiki shairi hili? (alama 1)
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
(a) Katika jamii huwa wakati mwingine kuna matumizi ya lugha isiyo ya kistaarabu.taja mifano mitano ya lugha ya sampuli hiyo. ( alama 5)
(b) Taja mambo matano...
(Solved)
(a) Katika jamii huwa wakati mwingine kuna matumizi ya lugha isiyo ya kistaarabu.taja mifano mitano ya lugha ya sampuli hiyo. ( alama 5)
(b) Taja mambo matano yanayoathiri jinsi tunavyoweza kutumia lugha katika jamii(mtindo nafsi na mtu)
MAJIBU
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
(a) Eleza maana ya istilahi zifuatazo za isimu jamii.
i) Lafudhi
ii) Lahaja
iii) Rejesta
Taja sifa nne za sajili ya wanasiasa (alama 4)
(Solved)
(a) Eleza maana ya istilahi zifuatazo za isimu jamii.
i) Lafudhi
ii) Lahaja
iii) Rejesta
Taja sifa nne za sajili ya wanasiasa (alama 4)
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Mifano miwili ya fomyula ya ufunguzi wa hadithi
(Solved)
Mifano miwili ya fomyula ya ufunguzi wa hadithi
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza vigezo vya kutumia katika uchambuzi wa lugha
(Solved)
Eleza vigezo vya kutumia katika uchambuzi wa lugha
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili ufaafu wa anwani "kigogo" katika tamthilia ya kigogo
(Solved)
Jadili ufaafu wa anwani "kigogo" katika tamthilia ya kigogo
Date posted:
April 29, 2018
.
Answers (1)
-
(a) Nini maana ya kufa kwa lugha. (b) Eleza sababu zozote tano zinazochangia kufa kwa lugha
(Solved)
(a) Nini maana ya kufa kwa lugha.
(b) Eleza sababu zozote tano zinazochangia kufa kwa lugha.
(c) Taja aina tatu za makosa ya lugha.
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
1. Eleza maana ya istilahi hii: Usanifishaji 2. Eleza mambo manne yaliyochangia maenezi ya kiswahili kabla ya uhuru.
(Solved)
1. Eleza maana ya istilahi hii: Usanifishaji
2. Eleza mambo manne yaliyochangia maenezi ya kiswahili kabla ya uhuru.
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
Tamaa inatawala katika Tamthilia ya Kigogo. Dhibitisha
(Solved)
Tamaa inatawala katika Tamthilia ya Kigogo. Dhibitisha
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili maudhui ya utabaka katika tamthilia ya Kigogo
(Solved)
Jadili maudhui ya utabaka katika tamthilia ya Kigogo.
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
Ichambue jalada ya tamthilia ya Kigogo
(Solved)
Ichambue jalada ya tamthilia ya Kigogo
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza tofauti kati ya malumbano ya utani na mawaidha
(Solved)
Eleza tofauti kati ya malumbano ya utani na mawaidha
Date posted:
April 27, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza umuhimu wa ngomezi.
(Solved)
Eleza umuhimu wa ngomezi
Date posted:
April 27, 2018
.
Answers (1)
-
(a) Eleza maana ya mivigo na inakotumika (b) Eleza sifa za miviga (c) Onyesha umuhimu wa miviga.
(Solved)
(a) Eleza maana ya mivigo na inakotumika
(b) Eleza sifa za miviga
(c) Onyesha umuhimu wa miviga.
Date posted:
April 27, 2018
.
Answers (1)
-
Fafanua sifa za mawaidha ukizingatia: hadhira, fanani, maudhui, fani
(Solved)
Fafanua sifa za mawaidha ukizingatia
hadhira
fanani
maudhui
fani
Date posted:
April 26, 2018
.
Answers (1)
-
Fafanua aina za nyimbo zifuatazo bembelezi, za sifa, za mapenzi
(Solved)
Fafanua aina za nyimbo zifuatazo bembelezi, za sifa, za mapenzi.
Date posted:
April 24, 2018
.
Answers (1)
-
Taja sifa Tano bayana Kati ya pijini na Krioli
(Solved)
Taja sifa Tano bayana Kati ya pijini na Krioli
Date posted:
April 24, 2018
.
Answers (1)
-
Tumia neno vibaya kama: kivumishi, kielezi na kiwakilishi
(Solved)
Tumia neno vibaya kama: kivumishi, kielezi na kiwakilishi
Date posted:
April 24, 2018
.
Answers (1)
-
Weka majina haya katika ngeli mbili tofauti. 1.Ua 2. Maziwa 3. Nyanya 4. Tikiti
(Solved)
Weka majina haya katika ngeli mbili tofauti. 1.Ua 2. Maziwa 3. Nyanya 4. Tikiti
Date posted:
April 24, 2018
.
Answers (1)