
TUKI- Taasisi ya uchunguzi wa Kiswahili iko katika chuo kikuu cha dar-es-salaam na ndiyo taasisi pekee ambayo shughuli yake kuu ni utafiti na usambazaji wa Kiswahili. Juhudi zake ni kama ifuatavyo:
1. Kuendeleza utungaji wa kamusi zinazohusiana na Kiswahili sanifu. Kamusi hizi ni kama vile: kamusi ya Kiswahili sanifu, Kamusi ya Isimu jamii, kamusi ya Kiswahili-Kingereza, kamusi ya sayansi na teknolojia na kadhalika
TUKI pia hupitia na hurekebisha kamusi za Kiswahili panapotokea haja. Kamusi hizi zimesaidia pakubwa katika kuendeleza na kueneza Kiswahili.
2. Kutafiti na kuchapisha matokeo ya utafiti katika nyaja mbalimbali za lugha, isimu na fasihi ya Kiswahili. Utafiti huu umesaidia katika kukuza na kueneza Kiswahili.
3. Kulinda usanifu wa Lugha ya Kiswahili. TUKI imejitwika mzigo wa kulinda usanifu wa lugha ya Kiswahili. Inashughulika na usanifishaji wa misamiati mipya inayoundwa au kubuniwa kutumika katika Kiswahili.
4. TUKI husimamia tafsiri na ukalimani. Taasisi hii hutoa ushauri kwa serikali, mashirika ya kitaifa nay a kibinafsi kuhusu mambo ya tafsiri hasa ya hati za kiserikali, katiba n.k. Hili husaidia katika kuendeleza Kiswahili sanifu.
5. Kufundisha Kiswahili kama lugha ya pili hasa kwa wageni kutoka nje ya ulimwengu wa waswahili. TUKI hushiriki katika kufundisha katika idara ya Kiswahili, fasihi, lugha za kigeni na isimu nah ii ni njia mwafaka ya kuendeleza Kiswahili
Hoja 5*3 = 15
ESTHER STEVE answered the question on April 30, 2018 at 20:22
-
Eleza nafasi ya makundi yafuatayo katika ama kukua au kudhoofika kwa Kiswahili nchini Kenya kabla ya uhuru. (a) Watawala (b) Wamisheni (c) Walowezi
(Solved)
Eleza nafasi ya makundi yafuatayo katika ama kukua au kudhoofika kwa Kiswahili nchini Kenya kabla ya uhuru.
a) Watawala
b) Wamisheni
c) Walowezi
(alama 15)
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili aina tatu za ‘maana’ huku ukizitolea mifano kutoka Kiswahili.
(Solved)
Jadili aina tatu za ‘maana’ huku ukizitolea mifano kutoka Kiswahili.
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Na ujenge nyumba yako, jingi jasho likuoshe,Ufyeke, upime na uweke nguzo,Kisha paa uweke na ukandike,Siku nyingi bila kuingiliwa na mgeni hutakaa.Wataanza kutalii mpaka mende usiku,Nje...
(Solved)
1. Na ujenge nyumba yako, jingi jasho likuoshe,
Ufyeke, upime na uweke nguzo,
Kisha paa uweke na ukandike,
Siku nyingi bila kuingiliwa na mgeni hutakaa.
Wataanza kutalii mpaka mende usiku,
Nje na ndani ya nyumba watazunguka,
Bila woga, bila ruhusa ulichonacho watakula,
Masalia yatakuwa yako, ijara ya kaziyo.
Na nyingi dawa uweke, nyumba nzima uihame,
Ukae nje nzima siku usubiri,
Wazima wamelala ukirudi usiku,
Vichwa vigumu hawafi mende rahisi.
Kifo cha mende sharti miguu juu
Kichwa ukikanyage kipasuke usikie,
Na kisha wengine usiku mchana uwasake.
Mpaka watakapokwisha. Usiseme nao.
Maswali
(a) (i) Hili ni shairi la aina gani? (alama 1)
(ii) Tetea jibu lako. (alama 3)
(b) Eleza jinsi mshairi alivyoutumia uhuru wake katika utunzi wa shairi hili. (alama 4)
(c) Taja mbinu mbili za lugha alizotumia mshairi na uzitolee mifano. (alama 4)
(d) Andika ubeti wa tatu kwa lugha nathari. (alama 4)
(e) Eleza ujumbe wa mshairi. (alama 2)
(f) Toa mfano mmoja wa mshata. (alama 1)
(g) Kichwa gani kinaliafiki shairi hili? (alama 1)
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
(a) Katika jamii huwa wakati mwingine kuna matumizi ya lugha isiyo ya kistaarabu.taja mifano mitano ya lugha ya sampuli hiyo. ( alama 5)
(b) Taja mambo matano...
(Solved)
(a) Katika jamii huwa wakati mwingine kuna matumizi ya lugha isiyo ya kistaarabu.taja mifano mitano ya lugha ya sampuli hiyo. ( alama 5)
(b) Taja mambo matano yanayoathiri jinsi tunavyoweza kutumia lugha katika jamii(mtindo nafsi na mtu)
MAJIBU
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
(a) Eleza maana ya istilahi zifuatazo za isimu jamii.
i) Lafudhi
ii) Lahaja
iii) Rejesta
Taja sifa nne za sajili ya wanasiasa (alama 4)
(Solved)
(a) Eleza maana ya istilahi zifuatazo za isimu jamii.
i) Lafudhi
ii) Lahaja
iii) Rejesta
Taja sifa nne za sajili ya wanasiasa (alama 4)
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Mifano miwili ya fomyula ya ufunguzi wa hadithi
(Solved)
Mifano miwili ya fomyula ya ufunguzi wa hadithi
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza vigezo vya kutumia katika uchambuzi wa lugha
(Solved)
Eleza vigezo vya kutumia katika uchambuzi wa lugha
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili ufaafu wa anwani "kigogo" katika tamthilia ya kigogo
(Solved)
Jadili ufaafu wa anwani "kigogo" katika tamthilia ya kigogo
Date posted:
April 29, 2018
.
Answers (1)
-
(a) Nini maana ya kufa kwa lugha. (b) Eleza sababu zozote tano zinazochangia kufa kwa lugha
(Solved)
(a) Nini maana ya kufa kwa lugha.
(b) Eleza sababu zozote tano zinazochangia kufa kwa lugha.
(c) Taja aina tatu za makosa ya lugha.
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
1. Eleza maana ya istilahi hii: Usanifishaji 2. Eleza mambo manne yaliyochangia maenezi ya kiswahili kabla ya uhuru.
(Solved)
1. Eleza maana ya istilahi hii: Usanifishaji
2. Eleza mambo manne yaliyochangia maenezi ya kiswahili kabla ya uhuru.
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
Tamaa inatawala katika Tamthilia ya Kigogo. Dhibitisha
(Solved)
Tamaa inatawala katika Tamthilia ya Kigogo. Dhibitisha
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili maudhui ya utabaka katika tamthilia ya Kigogo
(Solved)
Jadili maudhui ya utabaka katika tamthilia ya Kigogo.
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
Ichambue jalada ya tamthilia ya Kigogo
(Solved)
Ichambue jalada ya tamthilia ya Kigogo
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza tofauti kati ya malumbano ya utani na mawaidha
(Solved)
Eleza tofauti kati ya malumbano ya utani na mawaidha
Date posted:
April 27, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza umuhimu wa ngomezi.
(Solved)
Eleza umuhimu wa ngomezi
Date posted:
April 27, 2018
.
Answers (1)
-
(a) Eleza maana ya mivigo na inakotumika (b) Eleza sifa za miviga (c) Onyesha umuhimu wa miviga.
(Solved)
(a) Eleza maana ya mivigo na inakotumika
(b) Eleza sifa za miviga
(c) Onyesha umuhimu wa miviga.
Date posted:
April 27, 2018
.
Answers (1)
-
Fafanua sifa za mawaidha ukizingatia: hadhira, fanani, maudhui, fani
(Solved)
Fafanua sifa za mawaidha ukizingatia
hadhira
fanani
maudhui
fani
Date posted:
April 26, 2018
.
Answers (1)
-
Fafanua aina za nyimbo zifuatazo bembelezi, za sifa, za mapenzi
(Solved)
Fafanua aina za nyimbo zifuatazo bembelezi, za sifa, za mapenzi.
Date posted:
April 24, 2018
.
Answers (1)
-
Taja sifa Tano bayana Kati ya pijini na Krioli
(Solved)
Taja sifa Tano bayana Kati ya pijini na Krioli
Date posted:
April 24, 2018
.
Answers (1)
-
Tumia neno vibaya kama: kivumishi, kielezi na kiwakilishi
(Solved)
Tumia neno vibaya kama: kivumishi, kielezi na kiwakilishi
Date posted:
April 24, 2018
.
Answers (1)