Alikimbia kwenda kuona nyoka
Alikimbia alipoona nyoka
Alikifagia kwa ufagio
Alikula chakula chote
Masikio yangu si mazuri ama sielewi unavyosema
Mimi ni mgonjwa.
Kavungya answered the question on June 27, 2019 at 07:58
-
Andika methali nyingine ambayo maana yake ni kinyume cha
Riziki kama ajali huitambui ijapo
(Solved)
Andika methali nyingine ambayo maana yake ni kinyume cha
Riziki kama ajali huitambui ijapo
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya misemo ifuatayo kwa kuitungia sentensi moja moja
Kuramba kisogo
Kuzunguka mbuyu
(Solved)
Eleza maana ya misemo ifuatayo kwa kuitungia sentensi moja moja
Kuramba kisogo
Kuzunguka mbuyu
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Badilisha katika udogo kasha uukanushe udogo huo
(i) Guu lake limepona baada ya kuumwa na jibwa la jijini
(ii) Nyumba yenyewe ilijengwa bondeni karibu na mto
(Solved)
Badilisha katika udogo kasha uukanushe udogo huo
(i) Guu lake limepona baada ya kuumwa na jibwa la jijini
(ii) Nyumba yenyewe ilijengwa bondeni karibu na mto
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Fafanua maana za misemo ifuatayo kwa kuitungia sentensi
(i) Kula uyundo
(ii) Kula uhondo
(Solved)
Fafanua maana za misemo ifuatayo kwa kuitungia sentensi
(i) Kula uyundo
(ii) Kula uhondo
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi zifuatazo ukitumia kinyume cha neno lililoandikwa kwa herufi za
Mlazo
(i) Usijaribu kupaaza sauti unapoimba
(ii) Huyu ni mtu mwenye busara
(iii) Binadamu hawezi kumuumbua mwenzake
(Solved)
Andika sentensi zifuatazo ukitumia kinyume cha neno lililoandikwa kwa herufi za
Mlazo
(i) Usijaribu kupaaza sauti unapoimba
(ii) Huyu ni mtu mwenye busara
(iii) Binadamu hawezi kumuumbua mwenzake
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya sentensi hizi
(i) Mikono yao imeshikana
(ii) Mikono yao imeshikamana
(Solved)
Eleza maana ya sentensi hizi
(i) Mikono yao imeshikana
(ii) Mikono yao imeshikamana
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika kwa udogo ;ndege mkubwa alitua dirishani
(Solved)
Andika kwa udogo ;ndege mkubwa alitua dirishani.
Date posted:
June 15, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya kiimbo na onyesha dhima yake
(Solved)
Eleza maana ya kiimbo na onyesha dhima yake.
Date posted:
June 9, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya upangaji lugha na ufafanue sababu ya shughuli hiyo
(Solved)
Eleza maana ya upangaji lugha na ufafanue sababu ya shughuli hiyo
Date posted:
May 14, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza dhima mbili ya kiimbo
(Solved)
Dhima ya kiimbo
Date posted:
May 14, 2019
.
Answers (1)
-
Mambo yepi yanayoweza kusababisha kufa kwa lugha?
(Solved)
Mambo yepi yanayoweza kusababisha kufa kwa lugha?
Date posted:
May 14, 2019
.
Answers (1)
-
Taja na ueleze dhima tano ambazo sajili za lugha hutekeleza
(Solved)
Dhima ambazo sajili za lugha hutekeleza
Date posted:
May 14, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia nomino yoyote katika ngeli ya I-I kutunga sentensi.
(Solved)
Tumia nomino yoyote katika ngeli ya I-I kutunga sentensi.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga neno lenye muundo huu wa silabi:
Irabu + konsonanti + konsonanti + irabu
(Solved)
Tunga neno lenye muundo huu wa silabi:
Irabu + konsonanti + konsonanti + irabu
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi hii upya kwa kufuata maagizo: Wasichana wanaingia darasani kwa haraka (andika kinume chake)
(Solved)
Tunga sentensi hii upya kwa kufuata maagizo: Wasichana wanaingia darasani kwa haraka (andika kinume chake)
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tambua kiambishi awali na tamati kati neno: Alalaye
(Solved)
Tambua kiambishi awali na tamati kati neno: Alalaye
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Ainisha vivumishi katika sentensi hii: mzee mwenyewe ni mkongwe na amepewa zawadi kwa kuwa shamba lake lilitoa mazao mengi.
(Solved)
Ainisha vivumishi katika sentensi hii: mzee mwenyewe ni mkongwe na amepewa zawadi kwa kuwa shamba lake lilitoa mazao mengi.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Askari wasipopiga doria wala kushikiana na raia hawatakuwa wametuhakikishia usalama. (yakinisha sentensi hii)
(Solved)
Askari wasipopiga doria wala kushikiana na raia hawatakuwa wametuhakikishia usalama. (yakinisha sentensi hii)
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Dhihirisha matumizi matatu tofauti ya kimaana yatakayotokea ketenzi
"ona" kikinyambuliwa katika kirai hiki "ona ndoto".
(Solved)
Dhihirisha matumizi matatu tofauti ya kimaana yatakayotokea ketenzi
"ona" kikinyambuliwa katika kirai hiki "ona ndoto".
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi ya hali za "ka" na "hu" katika sentensi zifuatazo:
(i) Balozi huja hapa kila mara.
(ii) Mpishi alipika, akapakuwa na akagawa chakula.
(Solved)
Eleza matumizi ya hali za "ka" na "hu" katika sentensi zifuatazo:
(i) Balozi huja hapa kila mara.
(ii) Mpishi alipika, akapakuwa na akagawa chakula.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)