-
Ainisha vivumishi katika sentensi hii: mzee mwenyewe ni mkongwe na amepewa zawadi kwa kuwa shamba lake lilitoa mazao mengi.
Date posted:
May 7, 2019
-
Askari wasipopiga doria wala kushikiana na raia hawatakuwa wametuhakikishia usalama. (yakinisha sentensi hii)
Date posted:
May 7, 2019
-
Dhihirisha matumizi matatu tofauti ya kimaana yatakayotokea ketenzi
"ona" kikinyambuliwa katika kirai hiki "ona ndoto".
Date posted:
May 7, 2019
-
Eleza matumizi ya hali za "ka" na "hu" katika sentensi zifuatazo:
(i) Balozi huja hapa kila mara.
(ii) Mpishi alipika, akapakuwa na akagawa chakula.
Date posted:
May 7, 2019
-
Eleza maana mbili zinazojitokeza katika sentensi: Tuiiitwa na baba.
Mtendaji ni baba
Date posted:
May 7, 2019
-
Eleza matumizi mawili ya kiambishi -ji-.
Date posted:
May 7, 2019
-
Tunga sentensi hii upya kwa kutumia visawe vya maneno yaliopigwa
mstari. Kiambaza kilimuumiza ghulamu alipokuwa akipanda.
Date posted:
May 7, 2019
-
Tumia kitenzi "Fa" katika sentensi kuonyesha mazoea.
Date posted:
May 7, 2019
-
Ainisha vihusishi katika sentensi ifuatayo:
Babu alifika mapema kuliko wote halafu akaondoka.
Date posted:
May 7, 2019
-
Tumia kitenzi "tafakaru" kama nomino katika sentensi.
Date posted:
May 7, 2019
-
Eleza maana ya nahau hizi?
Date posted:
April 23, 2019
-
Jadili ufaafu wa jalada la tamthilia ya Kigogo.
Date posted:
April 22, 2019
-
Mayai waziri wa maradhi na hadithi nyingine.
Adui ya mwanamke ni mwanamke. Eleza kauli hii ukirejelea hadithi ya ngome ya nafsi na uteuzi wa moyoni
Date posted:
April 19, 2019
-
Mayai waziri wa maradhi na hadithi nyingine
. “Karibu ndugu yangu waumini ni kukirimiana tunashukuru, alhamdulilahi sifa zote ni zake Maulana a)Eleza muktadha wa dondoo hili
b) Wahusika hawa walikirimiana vipi?
c) “Kukirimiana” huko kulikuwa na hasara gani?
Date posted:
April 19, 2019
-
Eleza sifa za utungaji wa kisanii.
Date posted:
April 15, 2019
-
Anwani chozi la heri Ni kinaya. Thibitisha.
Date posted:
April 12, 2019
-
Taja na ueleze kwa kifupi mambo ambayo hutawala matumizi ya lugha.
Date posted:
April 10, 2019
-
Taja irabu mbili za nyuma ya ulimi.
Date posted:
April 9, 2019
-
Fafanua sehemu kuu za uandishi wa ripoti ya utafiti.
Date posted:
March 17, 2019
-
Eleza sababu za kutamba ngano usiku?
Date posted:
March 12, 2019
-
Ukirejelea tamthilia ya Kigogo,eleza jinsi nafasi ya vijana katika jamii inavyojitokeza.
Date posted:
March 12, 2019
-
Fafanua maudhui ya umenke katika riwaya chozi la heri.
Date posted:
March 9, 2019
-
Tambua shamirisho na chagizo katika sentensi ifuatayo.
Mama alipika chakula kitamu.
Date posted:
March 8, 2019
-
Sadfa imetumiwaje katika riwaya ya chozi la heri?
Date posted:
March 6, 2019
-
Eleza maana ya methali; "Kibaya chajitembeza kizuri chajiuza".
Date posted:
March 6, 2019
-
Eleza matumizi ya vipengele vya ushairi katika tamthilia ya Kigogo
Date posted:
February 24, 2019
-
Eleza hatua tano zinazofuatwa na mkusanyaji wa data ya fasihi simulizi.
Date posted:
February 23, 2019
-
Mofimu ni nini?
Date posted:
February 23, 2019
-
Swali la marudio kwa Kidato cha nne.
Date posted:
February 22, 2019
-
Toa mifano miwili ya viyeyusho.
Date posted:
February 20, 2019