? Huishia kwa swali ambalo mtambaji analiachia hadhira ijibu au iliwazie na kulitafutia uvumbuzi.
? Hukusudiwa kuipevusha jamii kwa kuikuza na kuendeleza uwezo wao wa kufanya uamuzi fulani.
? Huweza kuzua mijadala miongoni mwa wanajamii pamoja na kuukuza uwezo wa kushiriki kwenye majadiliano au mazungumzo ya kimjadala
kalvinspartan answered the question on July 24, 2018 at 09:54
-
Ngano za mitanzuko ni nini
(Solved)
Ngano za mitanzuko ni nini
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Taja sifa nne za ngano za usuli
(Solved)
Taja sifa nne za ngano za usuli
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Nini maana ya ngano za usuli?
(Solved)
Nini maana ya ngano za usuli?
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Orodhesha sifa zozote tano za ngano za mazimwi
(Solved)
Orodhesha sifa zozote tano za ngano za mazimwi
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Fafanua maana ya ngano za mazimwi
(Solved)
Fafanua maana ya ngano za mazimwi.
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Hurafa huwa na umuhimu gani katika jamii?
(Solved)
Hurafa huwa na umuhimu gani katika jamii?
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza nini maana ya hurafa katika fasihi simulizi kisha toa sifa zake nne
(Solved)
Eleza nini maana ya hurafa katika fasihi simulizi kisha toa sifa zake nne
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Je hekaya zina umuhimu gani katika jamii?
(Solved)
Je hekaya zina umuhimu gani katika jamii?
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya ayari
(Solved)
Eleza maana ya ayari
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Taja sifa tano za hekaya
(Solved)
Taja sifa tano za hekaya
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Andika kinyume cha maneno haya 1. Andika 2. Chota 3. Tundika
(Solved)
Andika kinyume cha maneno haya
1. Andika
2. Ahota
3. Tundika
Date posted:
July 16, 2018
.
Answers (1)
-
Elelza jinsi ya kutatua changamoto zinazomkuba mtafiti
(Solved)
Elelza jinsi ya kutatua changamoto zinazomkuba mtafiti.
Date posted:
July 10, 2018
.
Answers (1)
-
Kufanikiwa kwa uwasilishaji wa tanzu ya fasihi simulizi hutegemea fanani. Jadili
(Solved)
Kufanikiwa kwa uwasilishaji wa tanzu ya fasihi simulizi hutegemea fanani. Jadili
Date posted:
July 6, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza umuhimu wa isimu jamii
(Solved)
Eleza umuhimu wa isimu jamii.
Date posted:
July 2, 2018
.
Answers (1)
-
Andika kwa wastani.
Magoma haya yatachezwa wanjani
(Solved)
Andika kwa wastani.
Magoma haya yatachezwa wanjani
Date posted:
June 26, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza mambo yanayochangia katika kuenea kwa lugha ya kiswahili
(Solved)
Ekeza mambo yanayochangia katika kuenea kwa lugha ya kiswahili
Date posted:
June 21, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza mbinu zozote kumi za uandishi katika tamthilia ya kigogo
(Solved)
Eleza mbinu zozote kumi za uandishi katika tamthilia ya kigogo.
Date posted:
June 19, 2018
.
Answers (1)
-
a).Andika sentensi zifuatazo katika umoja. i)Walimu wamekaribisha akina mama shuleni.
(Solved)
a).Andika sentensi zifuatazo katika umoja.
i)Walimu wamekaribisha akina mama shuleni.
ii)Wasafiri wameapa kutosafiri katika magari hayo makuukuu.
b).Kamilisha methali zifuatazo.
i)Cha kuvunda hakina...............
ii)............vyajiuza vibaya vyajitembeza.
iii)Aambiwaye akakataa................
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
a).Kanusha sentensi zifuatazo.
a)Kondoo amekula majani.
b)Sisi tumefurahi
c)Baba ameandika barua ndefu.
b)Andika nahau tatu zenye neno 'piga'.
(Solved)
a).Kanusha sentensi zifuatazo.
a)Kondoo amekula majani.
b)Sisi tumefurahi
c)Baba ameandika barua ndefu.
b)Andika nahau tatu zenye neno 'piga'.
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)
-
Bainisha maneno katika sentensi zifuatazo.
i)Mama na baba wamefika.
ii)Mbwa na paka wanchukiana sana.
(Solved)
Bainisha maneno katika sentensi zifuatazo.
i)Mama na baba wamefika.
ii)Mbwa na paka wanchukiana sana.
Date posted:
June 17, 2018
.
Answers (1)