Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Onyesha jinsi mwandishi alivyotumia mbinu ya taharuki katika hadithi fupi ya Mke wangu

      

Onyesha jinsi mwandishi alivyotumia mbinu ya taharuki katika hadithi fupi ya Mke wangu.

  

Answers


KELVIN
? Kwa nini Aziza anamtazama msimulizi bila kumzungumzia?
? Msimulizi alimpa aziza talaka?
? Msimulizi alimwoa seluwa?
? Msimulizi alitilia maanani mafundisho ya Aziza na kuanza kufanya kazi?
? Aziza aliolewa na muuza madafu?

kalvinspartan answered the question on August 15, 2018 at 12:22


Next: Kwa kutoa mifano, onyesha matumizi ya nidaha katika hadithi ya mke wangu
Previous: Onyesha matumizi ya mbinu rejeshi katika hadithi fupi ya mke wangu

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions