Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Uzembe ni Jambo la kawaida miongoni mwa wafanyakazi wa umma.Kwa kutolea mifano kumi tetea dai hili Kwa mujibu wa riwaya ya Kidagaa Kimemwozea.

      

Uzembe ni Jambo la kawaida miongoni mwa wafanyakazi wa umma.Kwa kutolea mifano kumi tetea dai hili Kwa mujibu wa riwaya ya Kidagaa Kimemwozea.

  

Answers


Esther
Mwalimu majisifu- anawaacha wasichana shuleni na kwenda ulevini akidai kuwa ata akiwafunza hawaelewi.
Mtemi Nasaba Bora- ni kiongozi anayefaa kuwahudumia watu waliomchagua ipasavyo anawatendea unyama.
-kuna uzembe pia katika wafinyikazi wa kitengo cha ardhi kwa kuwa hawakujali hata kutafuta ukweli ni nani mmiliki wa shamba mbalimbali zilizonyakuliwa.
Madaktari hospitalini- walikataa kuwahudumia Imani na Amani walipomchukua kitoto Uhuru hospitalini sikukuu.
Walinda usalama- walifuata amri walizopewa na mtemi bila kufuata haki ya raia.
Wachapishaji- hawakuweza kufanya kazi zao na kumchapishia mswada Amani kwa kuhitaji kupewa mlungula ndipo Majisifu akajinyakulia na kuchukua nafasi ya uandishi.
Wafungwa waliweza kuachiliwa licha ya kutekeleza maovu makubwa yaliyohitaji vifungo vya maisha. Mfano, Gaddafi ; kakake Imani.


Estherjeps answered the question on August 31, 2018 at 18:45


Next: What are the circumstances under which procuring entity can transfer the authority?
Previous: Explain the difference in the shape of the drops of mercury and water when placed on a clean glass surface

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions