
(1) Aina za ngomezi za kisasa.
- Rununu.
- Kengele.
- King’ora.
- Mlio wa ambulensi.
- Kipenga.
- Filimbi.
(2) Sifa za maapizo.
1. Maapizo yalitolewa na watu walioenda kinyume na matarajio ya jamii zao mifano ya watu hawa ni wabakaji, wezi, wauaji na waliowatusi wazazi, wazee au ukoo.Wazazi pia huweza kutoa maapizo kwa wana wao ili kuwaonya dhidi ya hulka mbaya kama vile utumiaji wa vileo.
2. Katika baadhi ya jamii za kiafrika, maapizo yalitolewa kabla ya ulaji viapo.mlaji kiapo anaweza kusema ambaye amefanya tendo hili chuma hiki kimwingie kwenye mboni ya jicho,asiuone mwangaza wa jua tena
3. Maapizo yanaweza kutolewa moja kwa moja na yule aliyeathirika, mtu anapopoteza kitu chake anaweza kuapiza ili kumtisha aliyeiba k.m aliyeiba mbuzi wangu apepenuke na huo mchanga, zizi lake asiweze kulala mbuzi hata mmoja
4. Kidini, Mungu, miungu au mizimu huweza kutoa maapizo kuhusu mustakabali wa mhusika fulani aidha maapizo ya kidini yanaweza kutolewa kama laana baada ya mhusika kukaidi amri za Mungu au miungu, maapizo ya aina hii huathiri mhusika na jamii yake.
5. Maapizo huaminika kuwa yataleta maangamizi kwa jamii, hivyo wanajamii hushauriwa kuyaepuka kwa kutenda mema.
6. Maapizo hutumia fasaha k.m ulumbi watoaji maapizo katika ulaji wa aghalabu huwa walumbi.
7. Maapizo hutumia lugha kali inayonuiwa kujaza woga ili kuonya dhidi ya uovu.
(3)
- Uvumbuzi wa vyombo vya mawasiliano kama tarakilishi.
- Mitambo ya kuchapisha na kuhifadhi maandishi.
- Dini ya Kikristo ambayo inapuuza baadhi ya vitendo au miviga ya F.S.
- Elimu ya kisasa haitambui wala kuthamini F.S.
- Waandishi wengi wa Kiafrika hawashughuliki F.S.
- Vifo vya fanani.
- Ushindani wa F.S. na burundani ya kisasa.
ESTHER STEVE answered the question on May 4, 2018 at 20:05
-
Taja tanzu tano za fasihi simulizi
(Solved)
Taja tanzu tano za fasihi simulizi
Date posted:
May 1, 2018
.
Answers (1)
-
Taja maudhui yoyote sita ambayo hujitokeza Katika kazi yako fasihi andishi
(Solved)
Taja maudhui yoyote sita ambayo hujitokeza Katika kazi yako fasihi andishi
Date posted:
May 1, 2018
.
Answers (1)
-
“Hatimaye Tarishi alikuja na barua moja ya Mtemi na nakala ya siku hiyo ya gazeti la Tomoko Leo: Mtemi Nasaba Bora akapokea barua hiyo na...
(Solved)
“Hatimaye Tarishi alikuja na barua moja ya Mtemi na nakala ya siku hiyo ya gazeti la Tomoko Leo: Mtemi Nasaba Bora akapokea barua hiyo na gazeti toka kwa tarishi aliyekuwa kanywea si haba.”
(a) Jadili mambo yaliyomshtua Mtemi Nasaba Bora kuhusiana na barua na gazeti alizopokea siku hiyo.
(b) Onyesha jinsi madhubuti alivyoendeleza uasi dhidi ya babake.
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
“Lowela tunapendana mno na ni msiri wangu wala hakuogopa kuniambia yaliyojiri.(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (b) Fafanua ‘yaliyojiri’ kwa mujibu wa msemaji. (c)Lowela ni kielelezo kibaya cha msichana wa kisasa. Thibitisha.
(Solved)
“Lowela tunapendana mno na ni msiri wangu wala hakuogopa kuniambia yaliyojiri.
(a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
(b) Fafanua ‘yaliyojiri’ kwa mujibu wa msemaji.
(c) Lowela ni kielelezo kibaya cha msichana wa kisasa.
Thibitisha.
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Ujenzi wa jamii mpya ni wajibu wa vijana. Thibitisha ukweli wa kauli hii ukirejelea riwaya ya Kidagaa Kimemwozea.
(Solved)
Ujenzi wa jamii mpya ni wajibu wa vijana. Thibitisha ukweli wa kauli hii ukirejelea riwaya ya Kidagaa Kimemwozea.
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Onyesha jinsi mbinu ya Taharuki imetumiwa katika Tamthilia ya kigogo
(Solved)
Onyesha jinsi mbinu ya Taharuki imetumiwa katika Tamthilia ya kigogo
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili maudhui ya siasa katika Tamthilia ya kigogo
(Solved)
Jadili maudhui ya siasa katika Tamthilia ya kigogo
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili kwa kina sifa zozote tano zinazokitambulisha Kiswahili kama lugha ya kibantu
(Solved)
Jadili kwa kina sifa zozote tano zinazokitambulisha Kiswahili kama lugha ya kibantu.
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili juhudi za TUKI katika kuendeleza na kustawisha Kiswahili katika ukanda wa Afrika Mashariki.
(Solved)
Jadili juhudi za TUKI katika kuendeleza na kustawisha Kiswahili katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza nafasi ya makundi yafuatayo katika ama kukua au kudhoofika kwa Kiswahili nchini Kenya kabla ya uhuru. (a) Watawala (b) Wamisheni (c) Walowezi
(Solved)
Eleza nafasi ya makundi yafuatayo katika ama kukua au kudhoofika kwa Kiswahili nchini Kenya kabla ya uhuru.
a) Watawala
b) Wamisheni
c) Walowezi
(alama 15)
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili aina tatu za ‘maana’ huku ukizitolea mifano kutoka Kiswahili.
(Solved)
Jadili aina tatu za ‘maana’ huku ukizitolea mifano kutoka Kiswahili.
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Na ujenge nyumba yako, jingi jasho likuoshe,Ufyeke, upime na uweke nguzo,Kisha paa uweke na ukandike,Siku nyingi bila kuingiliwa na mgeni hutakaa.Wataanza kutalii mpaka mende usiku,Nje...
(Solved)
1. Na ujenge nyumba yako, jingi jasho likuoshe,
Ufyeke, upime na uweke nguzo,
Kisha paa uweke na ukandike,
Siku nyingi bila kuingiliwa na mgeni hutakaa.
Wataanza kutalii mpaka mende usiku,
Nje na ndani ya nyumba watazunguka,
Bila woga, bila ruhusa ulichonacho watakula,
Masalia yatakuwa yako, ijara ya kaziyo.
Na nyingi dawa uweke, nyumba nzima uihame,
Ukae nje nzima siku usubiri,
Wazima wamelala ukirudi usiku,
Vichwa vigumu hawafi mende rahisi.
Kifo cha mende sharti miguu juu
Kichwa ukikanyage kipasuke usikie,
Na kisha wengine usiku mchana uwasake.
Mpaka watakapokwisha. Usiseme nao.
Maswali
(a) (i) Hili ni shairi la aina gani? (alama 1)
(ii) Tetea jibu lako. (alama 3)
(b) Eleza jinsi mshairi alivyoutumia uhuru wake katika utunzi wa shairi hili. (alama 4)
(c) Taja mbinu mbili za lugha alizotumia mshairi na uzitolee mifano. (alama 4)
(d) Andika ubeti wa tatu kwa lugha nathari. (alama 4)
(e) Eleza ujumbe wa mshairi. (alama 2)
(f) Toa mfano mmoja wa mshata. (alama 1)
(g) Kichwa gani kinaliafiki shairi hili? (alama 1)
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
(a) Katika jamii huwa wakati mwingine kuna matumizi ya lugha isiyo ya kistaarabu.taja mifano mitano ya lugha ya sampuli hiyo. ( alama 5)
(b) Taja mambo matano...
(Solved)
(a) Katika jamii huwa wakati mwingine kuna matumizi ya lugha isiyo ya kistaarabu.taja mifano mitano ya lugha ya sampuli hiyo. ( alama 5)
(b) Taja mambo matano yanayoathiri jinsi tunavyoweza kutumia lugha katika jamii(mtindo nafsi na mtu)
MAJIBU
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
(a) Eleza maana ya istilahi zifuatazo za isimu jamii.
i) Lafudhi
ii) Lahaja
iii) Rejesta
Taja sifa nne za sajili ya wanasiasa (alama 4)
(Solved)
(a) Eleza maana ya istilahi zifuatazo za isimu jamii.
i) Lafudhi
ii) Lahaja
iii) Rejesta
Taja sifa nne za sajili ya wanasiasa (alama 4)
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Mifano miwili ya fomyula ya ufunguzi wa hadithi
(Solved)
Mifano miwili ya fomyula ya ufunguzi wa hadithi
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza vigezo vya kutumia katika uchambuzi wa lugha
(Solved)
Eleza vigezo vya kutumia katika uchambuzi wa lugha
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili ufaafu wa anwani "kigogo" katika tamthilia ya kigogo
(Solved)
Jadili ufaafu wa anwani "kigogo" katika tamthilia ya kigogo
Date posted:
April 29, 2018
.
Answers (1)
-
(a) Nini maana ya kufa kwa lugha. (b) Eleza sababu zozote tano zinazochangia kufa kwa lugha
(Solved)
(a) Nini maana ya kufa kwa lugha.
(b) Eleza sababu zozote tano zinazochangia kufa kwa lugha.
(c) Taja aina tatu za makosa ya lugha.
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
1. Eleza maana ya istilahi hii: Usanifishaji 2. Eleza mambo manne yaliyochangia maenezi ya kiswahili kabla ya uhuru.
(Solved)
1. Eleza maana ya istilahi hii: Usanifishaji
2. Eleza mambo manne yaliyochangia maenezi ya kiswahili kabla ya uhuru.
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
Tamaa inatawala katika Tamthilia ya Kigogo. Dhibitisha
(Solved)
Tamaa inatawala katika Tamthilia ya Kigogo. Dhibitisha
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)