Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Thibitisha jinsi mwandishi wa Riwaya ya Kidagaa Kimemwozea alivyo fanikisha maudhui ya uwajibikaji.

      

Thibitisha jinsi mwandishi wa Riwaya ya Kidagaa Kimemwozea alivyo fanikisha maudhui ya uwajibikaji.

  

Answers


ESTHER
- Amani anakilea kitoto Uhuru kama mwanawe baadaya Mtemi kukipagaza mlangoni kwake.
- Bi. Zuhura anawasaidia Amani na Imani kukilea kitoto Uhuru.
- Amani na Imani wanaishi katika kibanda kimoja lakini hawakiuki mipaka ya uhusiano wao.
- Imani anabadili mawazo yake kuhusu tendo la kujiua.
- Wafanyikazi wa Mtemi wanajitahidi kunadhifisha kasri.
- Amani anafunga safari ili kupata aliyemwibia mswada wake.
- Madhubuti anajitenga na ufisadi wa babake.
- Ben Bella anavunja uhusiano wake na Mashaka.
- Amani anafichua siri yake kwa Madhubuti kwa wakati ufaao.
- Amani na Imani wanafunga ndoa tu baada ya kukamilisha masomo.
ESTHER STEVE answered the question on May 14, 2018 at 19:44


Next: Jadili mbinu ya sadfa katika Kidagaa Kimemwozea.
Previous: Kidagaa Kimemwozea “....usiniweke pembeni kama tanbihi, mimi na wanawake wenzangu kama wanaume wengine wafanyavyo waandikapo...” a) Fafanua muktadha wa dondoo hili (alama 4)

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions