Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Kidagaa Kimemwozea “....usiniweke pembeni kama tanbihi, mimi na wanawake wenzangu kama wanaume wengine wafanyavyo waandikapo...” a) Fafanua muktadha wa dondoo hili (alama 4)

      

Kidagaa Kimemwozea
“....usiniweke pembeni kama tanbihi, mimi na wanawake wenzangu kama wanaume wengine wafanyavyo waandikapo...”
a) Fafanua muktadha wa dondoo hili (alama 4)
b) Fafanua mbinu mbili za uandishi zilizotumika hapa (alama 2)
c) Hakiki usawiri wa wahusika wa kike katika riwaya hii (alama 14)

  

Answers


ESTHER
Dondoo hili lapatikana mwishoni mwa riwaya.
- Ni kauli ya Imani akimsemea Amani.
- Punde baada ya sherehe ya amu yake Amani kuachiliwa huru,Imani anamshajisha Amani kuandika tawasifu yake.
- Anamrai awasawiri vilivyo wanawake katika tawasifu ile. (alama 4*1=4)
b) Mbinu za uandishi.
- Nahau- usiniweke pembeni
- Tashbihi – kama tanbihi

c) Usawiri wa Wahusika wa kike.
Kuna wale wenye utu- Imani na Zuhura.
- Kuna wale wasio nao-Lowela,Michelle,na Mashaka.
- Walezi wema – Imani na Zuhura.
- Walezi wasio wema ni kama Lowela.
- Waadilifu kama Imani na mama yake.
- Wasio waadilifu kama Lowela.
- Wanaowajibika kazini kama imani na mama yake.
- Wa umri wa makamo kama Dora na Zuhura.
- Aidha kuna vijana kama Imani,Lowela na Mashaka.
- Jasiri- Imani na kwa kiwango fulani, Dora.
- Wengine wanaonekana kuishi kwenye vivuli vya wanaume
ESTHER STEVE answered the question on May 14, 2018 at 19:53


Next: Thibitisha jinsi mwandishi wa Riwaya ya Kidagaa Kimemwozea alivyo fanikisha maudhui ya uwajibikaji.
Previous: “We bwana unafikiri natumia petroli nini?” (a) Uweke usemi huu katika muktadha wake. (al 4) (b) Huku ukitoa mifano, eleza mbinu mbili za lugha zilizotumiwa na mwandishi...

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions