Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Jadili mbinu ya sadfa katika Kidagaa Kimemwozea.

      

Jadili mbinu ya sadfa katika Kidagaa Kimemwozea.

  

Answers


ESTHER
Kukutana kwa Amani na Imani pale ziwa Mawewa.
- Amani na Imani kukutana na Dj pale mto Kiberenge kisha anawapeleka kwa Mtemi.
- Amani kufika tu kwa Mtemi anapohitaji mchungaji.
- Majisifu kupata tu barua ya mwaliko wa kutoa mhadhara baada ya kubishana na Mkewe kuhusu ubingwa wake katika uandishi.
- Bi.Zuhura anapomwita Amani chumbani kwake Mtemi anawasili.
- Amani anafika tu pale ambapo Oscar kambona anataka kulipiza kisasa kwa Mtemi.
- Amani na Imani kuajiriwa na ndugu.
- Amani na Imani wanakutana wakati tu wote wameharibikiwa na mambo.
- Dj anapita kibandani kwa Amani wakati Amani anawaza kuhusu kile kitoto Uhuru. Dj anaenda kumwita Imani kumsaidia Amani.
- Kitabu anachopewa Amani kusoma pale pa Majisifu ni kidagaa ambacho ni kitabu chake.
ESTHER STEVE answered the question on May 14, 2018 at 19:42


Next: (i) Eleza maana ya Lingua Franka (ii) Tambua sifa zozote tatu za Lingua Franka
Previous: Thibitisha jinsi mwandishi wa Riwaya ya Kidagaa Kimemwozea alivyo fanikisha maudhui ya uwajibikaji.

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions