Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Eleza maana ya soga katika fasihi simulizi

Eleza maana ya soga katika fasihi simulizi

Answers


KELVIN
Ni hadithi ndogo ndogo zinazohusisha utani na ucheshi kwa kiasi Fulani kimsingi soga hutumiwa kwa akili ya kuchekesha, kukejeli au kuumbua au kufanyia dhihaka. Hata hivyo, katika ucheshi huo, mna mafunzo muhimu kwa binadamu.
kalvinspartan answered the question on July 24, 2018 at 09:56

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions