-
Eleza vigezo vya kutumia katika uchambuzi wa lugha
Date posted:
April 30, 2018
-
Jadili ufaafu wa anwani "kigogo" katika tamthilia ya kigogo
Date posted:
April 29, 2018
-
(a) Nini maana ya kufa kwa lugha.
(b) Eleza sababu zozote tano zinazochangia kufa kwa lugha.
(c) Taja aina tatu za makosa ya lugha.
Date posted:
April 28, 2018
-
1. Eleza maana ya istilahi hii: Usanifishaji
2. Eleza mambo manne yaliyochangia maenezi ya kiswahili kabla ya uhuru.
Date posted:
April 28, 2018
-
Tamaa inatawala katika Tamthilia ya Kigogo. Dhibitisha
Date posted:
April 28, 2018
-
Jadili maudhui ya utabaka katika tamthilia ya Kigogo.
Date posted:
April 28, 2018
-
Ichambue jalada ya tamthilia ya Kigogo
Date posted:
April 28, 2018
-
Eleza tofauti kati ya malumbano ya utani na mawaidha
Date posted:
April 27, 2018
-
Eleza umuhimu wa ngomezi
Date posted:
April 27, 2018
-
(a) Eleza maana ya mivigo na inakotumika
(b) Eleza sifa za miviga
(c) Onyesha umuhimu wa miviga.
Date posted:
April 27, 2018
-
Fafanua sifa za mawaidha ukizingatia
hadhira
fanani
maudhui
fani
Date posted:
April 26, 2018
-
Fafanua aina za nyimbo zifuatazo bembelezi, za sifa, za mapenzi.
Date posted:
April 24, 2018
-
Taja sifa Tano bayana Kati ya pijini na Krioli
Date posted:
April 24, 2018
-
Tumia neno vibaya kama: kivumishi, kielezi na kiwakilishi
Date posted:
April 24, 2018
-
Weka majina haya katika ngeli mbili tofauti. 1.Ua 2. Maziwa 3. Nyanya 4. Tikiti
Date posted:
April 24, 2018
-
Nyambua vitenzi vifuatavyo katika kauli ya kutendewa.1. Twika 2. Tata
Date posted:
April 24, 2018
-
Andika sentensi sahihi ukitumia viambishi vya hali na nyakati vifuatavyo.
1. Ku
2. Ja
3. A
Date posted:
April 24, 2018
-
Eleza jinsi ya kuandika ripoti ya utafiti.
Date posted:
April 23, 2018
-
Utawala mbaya ni tatizo kuu linalozikumba nchi nyingi za kiafrika. Jadili kwa kurejelea matukio mbalimbali katika tamthilia ya kigogo.
Date posted:
April 23, 2018
-
Eleza suala la nafasi ya ndoa katika kigogo
Date posted:
April 22, 2018
-
Utengano wa kitabaka umechangia kuwepo Kwa dhuluma barani Afrika. Ukirejelea hadithi zifuatazo katika diwani ya Tumbo lisiloshiba, Dhibitisha. 1.Tumbo lisiloshiba 2.shibe inatumaliza...
Date posted:
April 21, 2018
-
Taja aina za sentensi.
Date posted:
April 20, 2018
-
Manufaa ya lahaja za Kiswahili.
Date posted:
April 20, 2018
-
Utovu Wa usalama ni nini?
Date posted:
April 20, 2018
-
Jadili mbinu anazotumia Majoka kudumu uongozini.
Date posted:
April 20, 2018
-
Toa mifano ya sauti sighuna ambazo ni vikwamizo
Date posted:
April 19, 2018
-
Bainisha yambwa katika sentensi ifuatayo: Mgeni aliandaliwa chakula kitamu na mwenyeji wake kwa sinia
Date posted:
April 19, 2018
-
Eleza shinda zinazokumba lugha ya kiswahili katika jamii.
Date posted:
April 18, 2018
-
Tumia Neno Kimya Katika Sentensi Kama: (1)Kielezi (2) Kihisishi
Date posted:
April 18, 2018
-
Eleza sababu za ufaraguzi kwa fasihi simulizi.
Date posted:
April 18, 2018