Get premium membership and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.

Kiswahili Karatasi Ya 1 Insha Question Paper

Kiswahili Karatasi Ya 1 Insha 

Course:Secondary Level

Institution: Mock question papers

Exam Year:2007



MTIHANI WA MWIGO – WILAYA YA TRANS- NZOIA - 2007
CHETI CHA ELIMU YA SEKONDARI KENYA.
Kiswahili
Karatasi 1
Julai / agosti 2007
MAAGIZO
_ Andika insha mbili ( 2 )
_ Insha ya kwanza ni ya LAZIMA. Kisha chagua insha nyingine kutoka hizo tatu zilizobakia.
_ Kila insha isipungue maneno 400.
_ Kila insha ina alama 20.
Karatasi hii ina kurasa 2 zilizopigwa chapa
Watahiniwa lazima wahakikishe kurasa zote zimepigwa chapa sawa sawa na kuwa maswali yote yamo
1. Andika hotuba utakayotoa katika mkutano wa kamati ya umoja wa mataifa unaofanyiwa
humu nchini kuhusu “ ELIMU YA BURE” katika shule za msingi.
2. Ufisadi umechangia ukosefu wa kazi kwa vijana nchini mwetu. Toa hoja zako za kupinga
au kuunga mkono kauli hii.
3. Hasidi mpe njia apite.
4. Fikira mbalimbali zilizunguka akilini mwangu, niliyokuwa nimeshuhudia yalitosha
kumithilishwa na uhayawani……..






More Question Papers


Popular Exams



Return to Question Papers