Get premium membership and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.
Got a question or eager to learn? Discover limitless learning on WhatsApp now - Start Now!

Kiswahili-102/1 (Shule Ya Upili Ya St.Mary) Question Paper

Kiswahili-102/1 (Shule Ya Upili Ya St.Mary) 

Course:Secondary Level

Institution: Kcse question papers

Exam Year:2010



KISWAHILI
KARATASI-102/1
JULAI 2010
MUDA:

MAAGIZO
*Jibu maswali mawili.
*Swali la kwanza ni la lazima.
*Kisha changua swali nyingine kutoka hizo tatu zilizosalia.
*Kila insha isipungue maneno 400.
*Kila insha ina alama 20.

1.Umeshuhudia mtu akipigwa dafrau na gari katika barabara kuu ipitayo karibu na kwenu.
Baada ya dakika chache,afisa wa trafiki anafika na kuanza kukuhoji.Andika mahojiano hayo.

2.Siri ya mtungi aijua kata.

3.Afadhali kujilimbikizia elimu badala ya mali. Jadili.

4.Vijana wa siku hizi wanapaswa kufunzwa na kutilia maanani zaidi uadilifu.
Eleza maadili matano yanayopaswa kutiliwa mkazo zaidi.






More Question Papers


Popular Exams



Return to Question Papers