📘 Access 10,000+ CBC Exams With Marking Schemes

Prepare your learners for success! Get CBC-aligned exams for Grades 1–9, PP1–PP2, Playgroup and High School - all with marking schemes.

Browse Exams

Instant download • Trusted by 100,000+ teachers • Updated weekly

Kiswahili Kidato Cha Pili Question Paper

Kiswahili Kidato Cha Pili 

Course:Kiswahili

Institution: Form 2 question papers

Exam Year:2011



SHULE YA UPILI YA SHINERS
KIDATO CHA PILI
MUHULA WA KWANZA 2011

1. Tofautisha kati ya vitawe na visawe (al 2)

2. Tenganisha mofimu mbalimbali zinazounda maneno yafuatayo (al 6)
a. Tuliowapenda

b. Aliyeniletea

3. Kanusha sentensi zifuatazo (al 2)
a. Mchoraji amechora picha nzuri

b. Mimi naja kwenu

4. Andika vinyume vya maneno haya (al 3)
a. Sifu

b. Uhayawani

c. Bora

5. Andika sentensi zifuatazo kwa wingi (al 3)

a. Mtu alikimbilia msituni

b. Ua lenu lanukia

6. Ainisha sentensi zifuatazo (al 4)
a. Baba na mama wanakuja kesho

b. Wale wazuri walitunukiwa zawadi

7. Onyesha nomino katika sentensi zifuatazo (al 4)
a. Jambazi lile litashtakiwa na polisi

b. Watieri ana watoto sita

8. Andika maana ya istiari zifuatazo (al 3)
a. Wairimu ni tausi

b. Maswali haya ni mawe

c. Maria ni chiriku

9. Onyesha vivumishi katika sentensi zifuatazo (al 2)
a. Kioo kile ni kikubwa kuliko kioo hiki

b. Mpira huu ni wa nani?

10. Andika nomino mwafaka kukamilisha sentensi zifuatazo (al 2)
a. ________ (maji, mkuki ) yatachotwa na nani?

b. ________ (chuo, mlango) utafungwa.






More Question Papers


Exams With Marking Schemes

End Term 3 Exams

Mid Term Exams

End Term 1 Exams

Opener Exams

Full Set Exams



Return to Question Papers