Get premium membership and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.
Got a question or eager to learn? Discover limitless learning on WhatsApp now - Start Now!

Kis 110 Question Paper

Kis 110 

Course:Misingi Ya Isimu Na Lugha Katika Kiswahili

Institution: Karatina University question papers

Exam Year:2014



KIS 110:MISINGI YA LUGHA NA ISIMU
MAAGIZO:JIBU SWALI LA KWANZA NA MENGINE MAWILI
1.(a)Elezea sifa bia tano za kugha kwa kutoa mifano mwafaka(alama 5).
(b)Elezea mambo matano yanayotambulisha dhana ya lugha(alama 10)
(c)Fafanua dhana zifuatazo za lugha:(alama 5)
i)lugha sanifu
ii)lugha mzazi
iii)lingua franka
iv)lahaja
v)lugha mame
d)Thibitisha kauli kwamba "isimu ni sayansi ya lugha"(alama 10)
2.(a)Fafanua nadharia tatu zinazoelezea chanzo cha lugha(alama 6)
(b)Elezea majukumu mbalimballi yanayotekelezwa na lugha ya binadamu(alama 14)
3.(a)Elezea kwa kutoa mifano aina tano za konsonanti(alama 10)
(b)Elezea huku ukitoa mifano jinsi unavyoweza kuainisha vokali za Kiswahili(alama 10)
4.Jadili kwa kutoa mifano tanzu zifuatazo za isimu(alama 20)
i. Fonologia
ii. Mofologia
iii. Sintaksia
iv. Semantiki
v. Pragmatiki
5.(a)Fafanua aina tatu za sentensi ya Kiswahili huku ukitoa maifano mwafaka(alama 6)
(b)Tofautisha dhana ya sikronia na daikronia kwa kutoa mifano mwafaka (alama 6)
(c)Fafanua ufaafu wa taaluma ya isimu katika jamii(alama 8)






More Question Papers


Popular Exams



Return to Question Papers