πŸ“˜ Access 10,000+ CBC Exams With Marking Schemes

Prepare your learners for success! Get CBC-aligned exams for Grades 1–9, PP1–PP2, Playgroup and High School - all with marking schemes.

Browse Exams

Instant download β€’ Trusted by 100,000+ teachers β€’ Updated weekly

Kiswahili Form 2 Cat 1 Term 3 Question Paper

Kiswahili Form 2 Cat 1 Term 3 

Course:Kiswahili

Institution: Form 2 question papers

Exam Year:2013




KISWAHILI KIDATO 2
MJARABU I, MUHULA 3, 2013
MUDA; SAA 1

A) Samaki wan chi za joto (Doreen Baingana)

β€œJioni moja tulikuwa tunapiga gumzo chumbani mwa Zac alipofika Peter. Kutoana na tamaa yangu maishani ya kumtafuta mpenzi wa kiume, nilipata nikiulainisha ujanajike wangu Peter alipoingia.”

a) Taja na ueleze sifa mbili za wahusika wafuatao,
i) Christine (alama 4)

ii) Peter (alama 4)


b) Kwa kutoa mifano katika dondoo, taja mfano wa mbinu ya lugha iliyotumika. (alama 2)

c) Kwa kutoa mifano katika hadithi nzima, eleza athari za mapenzi kwa wanafunzi. (alama 12)


Mke wangu(Muhammed Said Abdulla)
β€œSasa tulivyokuwa peke yetu, niliona ni wakati wangu kumsoma Aziza ili nipate kumsomesha, kwani kila nikimtazama niliona kuwa Aziza kaelekea kuwa kinyume na vile nilivyomfikiria.”

a) Eleza mambo matano yaliyomfanya msimulizi kuona Aziza akitenda kinyume. (alama 10)






More Question Papers


Exams With Marking Schemes

End Term 3 Exams

Mid Term Exams

End Term 1 Exams

Opener Exams

Full Set Exams



Return to Question Papers