Get premium membership and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.

Aki 409 : Kiswahili Syntax Question Paper

Aki 409 : Kiswahili Syntax 

Course:Bachelor Of Education

Institution: Jaramogi Oginga Odinga University Of Science And Technology question papers

Exam Year:2016



1.Kwa kutoa mifano mwafaka fafanua aina zifuatazo za mageuzi katika sentensi za Kiswahili:
a)mageuzi swalifu
b)Mageuzi tendwa
c)Mageuzi shadidifu
2.Eleza aina tano za Virai katika Kiswahili: toa mifano ifaaayo. (Alama 20)
3.Jadili kwa kirefu maana na upeo wa sintaksia. (Alama 20)
4.Eleza kwa undani dhana za umbo ndani na umbo nje kwa mujibu wa wanasarufi Geuza maumbo zalishi. (Alama 20)
5.Kwa kutoa mifano mwafaka tofautisha kati ya aina zifuatazo za sentensi za Kiswahili: (Alama 20)
a)Sentensi sahili
b)Sentensi ambatano
c)Sentensi changamano






More Question Papers


Popular Exams



Return to Question Papers