Get premium membership and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.

Kis 321: Literary Devices And Criticism In Kiswahili Question Paper

Kis 321: Literary Devices And Criticism In Kiswahili 

Course: Bachelor Of Arts

Institution: Rongo University question papers

Exam Year:2018



Jibu swali la kwanza na mengine yoyote mawili

1.a.Fafanua mihimili yoyote mifano ya mtazamo wa umenke (al6)
b.Toa umuhimu wa uhakiki katika kiswahili fasihi (al5)
c.Eleza dhima ya nadharia katika uhakiki(al5)
d.Dhihirisha sita za fasihi ya kiswahili katika kipindi cha urasmi mpya(al8)
e.Tathmini mchango wa wahusika katika fasihi (al6)

2.Fafanua mchango wa wafuatao katika uhakiki wa fasihi(al20)
a.Plato
b.Aristotle
c.Horace

3.Dhihirisha ufaafu wa nadharia ya utamaushi katika riwaya ya Rosa Mistika-Euphrase Kezilahabi(al20)

4.Mtazamo wa uhalisia wa kijamaa unafaa katika uhakiki wa tamthilia Kilio cha Haki-A.M Mazrui.Tathmini kauli hii(al20)

5.Jadili aina mbalimbali za uhakiki (al20)






More Question Papers


Popular Exams



Return to Question Papers