📘 Access 10,000+ CBC Exams With Marking Schemes

Prepare your learners for success! Get CBC-aligned exams for Grades 1–9, PP1–PP2, Playgroup and High School - all with marking schemes.

Browse Exams

Instant download • Trusted by 100,000+ teachers • Updated weekly

Introduction To Language And Linguistics Question Paper

Introduction To Language And Linguistics 

Course:Bachelor Of Education Arts

Institution: Masinde Muliro University Of Science And Technology question papers

Exam Year:2011



MAAGIZO.
Jibu maswali matatu.
1.a) Fafanua dhana ya lugha.(al 3)
b) Taja na ufafanue sifa tano za lugha ya binadamu.(al 10)
c) Eleza jinsi lugha ya binadamu hutofautiana na mawasiliano ya wanyama.(al 10)
2.a)Jadili mitazamo mitatu juu ya asili ya lugha.(al 9)
b) Jadili mitazamo mitatu juu ya asili ya kiswahili.(al 9)
c)Eleza asili ya neno Kiswahili.(al 5)
3.Kiswahili ni lugha ya Kibantu.Jadili kauli hii kwa kutumia mifano maridhawa.(al 23)
4.a) Fafanua maana ya isimu.(al 2)
b) Jadili kwa kina matawi ya isimu peke huku ukionyesha uhusiano kati yao.(al 12)
c) Fafanua uhusiano uliopo baina ya lugha na isimu.(al 12)
d) Taja matawi mengine ya isimu.(al 3)
5.a)Tofautisha kati ya irabu na Konsonanti.(al 4)
b)Jadili vigezo vitano vya kuainisha konsonanti.(al 7 1/2)
c) Jadili vigezo vinavyotumiwa kuainisha vokali.(al 7 1/2)
6.a) Jadili kwa kutolea mifano maridhawa dhana zifuatazo.
¡)Alofoni
¡¡)Fonimu
¡¡¡) Foni
¡v) Sentensi
v)Mofu
v¡)Mofimu
v¡¡)Kiambishi
v¡¡¡)Mzizi
b)Andika maneno yafuatayo katika hati za kifonetiki.
Ghamidha
Shone
Dhudhi
Teo
Ng'ang'a






More Question Papers


Exams With Marking Schemes

End Term 3 Exams

Mid Term Exams

End Term 1 Exams

Opener Exams

Full Set Exams



Return to Question Papers