
Taharuki ni hali ya kusubiri, kusisimka na kuwa na hamu kutaka kujua kitakachotokea baadaye na jinsi ya kutokea kwake katika kazi za fasihi. Baadhi ya mifano katika tamthilia ni kama:
? Boza anaangaliaangalia simu yake mara nyingi kama anayengojea jambo fulani uk. 1. Pia anaonekana kuchonga kinyago fulani na Kombe haelewi kuna nini. Linatuacha katika taharuki. Ni nini hicho anachokijua Boza ambacho Kombe hajui? Uk 3
? Sudi anachonga kinyago cha mwanamke. Je anamchonga nani? Uk. 10
? Mzee Kenga anapanga njama fulani, hatujui anapanga nini Uk. 15
? Kuna maandamano anakofanyia kazi Siti. Akina Tunu wanapoondoka kwenda huko, hatujui kunatokea nini. uk 18
? Ashua anapoenda ofisini mwa Majoka, Majoka anajaribu kumrai awe na uhusiano wa kimapenzi naye. Ashua anapokataa, Majoka anapigia Husda simu aje ofisni. Itakuwaje?
? Watoto wa Ashua wanapelekwa kwa akina Tunu, walipata chakula?
? Ndoto ya Tunu inatuwacha katika taharuki, mamake anasema sio ndoto ni tukio la kitotoni ila haelezi kisa hicho. Uk. 53
? Tunu anasema anataka kwenda kukutana na majangili waliomvamia. Anasema aliskikia sauti aijuayo. Hili linatuwacha katika taharuki. Nani huyo? Itakuwaje akienda? Uk. 55
? Hatujui iwapo akina Siti watahama Sagamoyo baada ya kupewa vijibarua Uk. 52
? Majoka anapozirai baada ya kupashwa habari za kufariki kwa Ngao Junior na kupelekwa hospitalini tunapata taharuki. Je, atapona? Atahudhuria mkutano?
? Ngurumo na Ngao Junior walizikwa? Lini? Wapi? Watu waliandamana kama alivyokisia Majoka?
? Husda hajui kwa nini Majoka akazirai. Nani atamwambia?
? Husda anapojulishwa kuwa Ngao Junior alifariki anazirai. Nini kiliendelea baadaye?
? Majoka alienda wapi baada ya kuachwa na wafuasi wake? Je alifunguliwa mashtaka?
ESTHER STEVE answered the question on April 30, 2018 at 20:34
-
Jadili maudhui ya siasa katika Tamthilia ya kigogo
(Solved)
Jadili maudhui ya siasa katika Tamthilia ya kigogo
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili kwa kina sifa zozote tano zinazokitambulisha Kiswahili kama lugha ya kibantu
(Solved)
Jadili kwa kina sifa zozote tano zinazokitambulisha Kiswahili kama lugha ya kibantu.
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili juhudi za TUKI katika kuendeleza na kustawisha Kiswahili katika ukanda wa Afrika Mashariki.
(Solved)
Jadili juhudi za TUKI katika kuendeleza na kustawisha Kiswahili katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza nafasi ya makundi yafuatayo katika ama kukua au kudhoofika kwa Kiswahili nchini Kenya kabla ya uhuru. (a) Watawala (b) Wamisheni (c) Walowezi
(Solved)
Eleza nafasi ya makundi yafuatayo katika ama kukua au kudhoofika kwa Kiswahili nchini Kenya kabla ya uhuru.
a) Watawala
b) Wamisheni
c) Walowezi
(alama 15)
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili aina tatu za ‘maana’ huku ukizitolea mifano kutoka Kiswahili.
(Solved)
Jadili aina tatu za ‘maana’ huku ukizitolea mifano kutoka Kiswahili.
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Na ujenge nyumba yako, jingi jasho likuoshe,Ufyeke, upime na uweke nguzo,Kisha paa uweke na ukandike,Siku nyingi bila kuingiliwa na mgeni hutakaa.Wataanza kutalii mpaka mende usiku,Nje...
(Solved)
1. Na ujenge nyumba yako, jingi jasho likuoshe,
Ufyeke, upime na uweke nguzo,
Kisha paa uweke na ukandike,
Siku nyingi bila kuingiliwa na mgeni hutakaa.
Wataanza kutalii mpaka mende usiku,
Nje na ndani ya nyumba watazunguka,
Bila woga, bila ruhusa ulichonacho watakula,
Masalia yatakuwa yako, ijara ya kaziyo.
Na nyingi dawa uweke, nyumba nzima uihame,
Ukae nje nzima siku usubiri,
Wazima wamelala ukirudi usiku,
Vichwa vigumu hawafi mende rahisi.
Kifo cha mende sharti miguu juu
Kichwa ukikanyage kipasuke usikie,
Na kisha wengine usiku mchana uwasake.
Mpaka watakapokwisha. Usiseme nao.
Maswali
(a) (i) Hili ni shairi la aina gani? (alama 1)
(ii) Tetea jibu lako. (alama 3)
(b) Eleza jinsi mshairi alivyoutumia uhuru wake katika utunzi wa shairi hili. (alama 4)
(c) Taja mbinu mbili za lugha alizotumia mshairi na uzitolee mifano. (alama 4)
(d) Andika ubeti wa tatu kwa lugha nathari. (alama 4)
(e) Eleza ujumbe wa mshairi. (alama 2)
(f) Toa mfano mmoja wa mshata. (alama 1)
(g) Kichwa gani kinaliafiki shairi hili? (alama 1)
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
(a) Katika jamii huwa wakati mwingine kuna matumizi ya lugha isiyo ya kistaarabu.taja mifano mitano ya lugha ya sampuli hiyo. ( alama 5)
(b) Taja mambo matano...
(Solved)
(a) Katika jamii huwa wakati mwingine kuna matumizi ya lugha isiyo ya kistaarabu.taja mifano mitano ya lugha ya sampuli hiyo. ( alama 5)
(b) Taja mambo matano yanayoathiri jinsi tunavyoweza kutumia lugha katika jamii(mtindo nafsi na mtu)
MAJIBU
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
(a) Eleza maana ya istilahi zifuatazo za isimu jamii.
i) Lafudhi
ii) Lahaja
iii) Rejesta
Taja sifa nne za sajili ya wanasiasa (alama 4)
(Solved)
(a) Eleza maana ya istilahi zifuatazo za isimu jamii.
i) Lafudhi
ii) Lahaja
iii) Rejesta
Taja sifa nne za sajili ya wanasiasa (alama 4)
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Mifano miwili ya fomyula ya ufunguzi wa hadithi
(Solved)
Mifano miwili ya fomyula ya ufunguzi wa hadithi
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza vigezo vya kutumia katika uchambuzi wa lugha
(Solved)
Eleza vigezo vya kutumia katika uchambuzi wa lugha
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili ufaafu wa anwani "kigogo" katika tamthilia ya kigogo
(Solved)
Jadili ufaafu wa anwani "kigogo" katika tamthilia ya kigogo
Date posted:
April 29, 2018
.
Answers (1)
-
(a) Nini maana ya kufa kwa lugha. (b) Eleza sababu zozote tano zinazochangia kufa kwa lugha
(Solved)
(a) Nini maana ya kufa kwa lugha.
(b) Eleza sababu zozote tano zinazochangia kufa kwa lugha.
(c) Taja aina tatu za makosa ya lugha.
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
1. Eleza maana ya istilahi hii: Usanifishaji 2. Eleza mambo manne yaliyochangia maenezi ya kiswahili kabla ya uhuru.
(Solved)
1. Eleza maana ya istilahi hii: Usanifishaji
2. Eleza mambo manne yaliyochangia maenezi ya kiswahili kabla ya uhuru.
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
Tamaa inatawala katika Tamthilia ya Kigogo. Dhibitisha
(Solved)
Tamaa inatawala katika Tamthilia ya Kigogo. Dhibitisha
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili maudhui ya utabaka katika tamthilia ya Kigogo
(Solved)
Jadili maudhui ya utabaka katika tamthilia ya Kigogo.
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
Ichambue jalada ya tamthilia ya Kigogo
(Solved)
Ichambue jalada ya tamthilia ya Kigogo
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza tofauti kati ya malumbano ya utani na mawaidha
(Solved)
Eleza tofauti kati ya malumbano ya utani na mawaidha
Date posted:
April 27, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza umuhimu wa ngomezi.
(Solved)
Eleza umuhimu wa ngomezi
Date posted:
April 27, 2018
.
Answers (1)
-
(a) Eleza maana ya mivigo na inakotumika (b) Eleza sifa za miviga (c) Onyesha umuhimu wa miviga.
(Solved)
(a) Eleza maana ya mivigo na inakotumika
(b) Eleza sifa za miviga
(c) Onyesha umuhimu wa miviga.
Date posted:
April 27, 2018
.
Answers (1)
-
Fafanua sifa za mawaidha ukizingatia: hadhira, fanani, maudhui, fani
(Solved)
Fafanua sifa za mawaidha ukizingatia
hadhira
fanani
maudhui
fani
Date posted:
April 26, 2018
.
Answers (1)