
(a) Jadili mambo yaliyomshitua Mtemi Nasaba Bora kuhusiana na barua na gazeti alizozipokea siku hiyo.
? Hakuona picha yake katika gazeti la Tomoko Leo kama ilivyokuwa wakati nduguye Mwalimu Majisifu alikuwa mhariri wa gazeti hilo licha ya kutoelewana kwao.
? Katika barua aliyopokea mtoto wake madhubuti aliyekuwa masomoni. Urusi alimwarifu juu ya kurejea kwake nyumbani na angetaka mpango wa kumtafutia ajira jeshini au popote uisitishwe, kwa sababu hataki ajira inayotokana na mlungula.
? Madhubuti pia alisema kuwa alitaka kusimama kwa miguu yake mwenyewe apate au akose kwa kustahiki au kushtahili kwa sababu ya jadi yake.
? Madhubuti alimwambia babake alikuwa amechoka na ingawa alimpenda kulikuwa na vitendo vyake ambavyo hakuwa akivipenda.
? Mtemi Nasaba Bora alipomaliza kusoma barua alikasirika na kugonga meza kwa kuona kuwa madhubuti hajui dunia inavyozanguka.
? Pia alikasirika kwa kuona Madhubuti alivyokuwa amejitambulisha na mamake(Madhubuti Zuhura) badala ya kujitambulisha naye kama baba yake.
(b) Onyesha jinsi Madhubuti alivyoendeleza uasi dhidi ya babake.
? Katika barua aliyomwandikia babake alipokaribia kurudi nyumbani alitaka mipango ya kutafutiwa kazi jeshini au popote isitishwe kwa sababu hukutaka kazi iliyotokana na mlungula.
? Madhubuti alimwambia babake kuwa ingawa alimpenda kulikuwa na vitendo vyake ambavyo hakupenda.
? Madhubuti alimaliza barua yake kwa kujiita Madhubuti Zuhura badala ya kujitambulisha na babake.
? Alipendana na kushirikana na mfanyikazi wao Amani kwa sababu mitazamo yao ilishabihiana. Hatimaye alihamia kibandani alimokaa Amani.
? Madhubuti alichukia vitendo vya babake vya kupoka, kupiga pute, kulimbikiza mali haramu na kuhalalisha haramu kwa sababu vilifanya bara la Afrika kuchekwa katika kila pembe ya dunia.
? Alimwomba Amani ashirikiane naye katika kuwazidua watu kwa lengo la kukomesha udhalimu kuanzia pale kwao wanapofanyiwa udhalimu na baba yake.
? Madhubuti alifuata kwa kukubali babake ampeleke masomoni ng’ambo kwa pesa alizowaitisha watu kwa nguvu ingawa alikuwa amefaulu kuingia katika Chuo Kikuu pale nyumbani kwao.
? Anahiari kujiua kinasaba ili azaliwe upya na asiwe na uhusiano wowote na Nasaba ya Mtemi Nasaba Bora.
? Madhubuti alikubaliana na Amani waongoze mapinduzi kwa tahadhari wasije wakatoa viongozi dhalimu na kuingiza mwingine dhalimu zaidi.
? Madhubuti alipopata ajira mjini Songoa alianza kuchunguza jinsi babake alivyopata kumiliki mashamba mengi makubwa.
ESTHER STEVE answered the question on April 30, 2018 at 20:49
-
“Lowela tunapendana mno na ni msiri wangu wala hakuogopa kuniambia yaliyojiri.(a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (b) Fafanua ‘yaliyojiri’ kwa mujibu wa msemaji. (c)Lowela ni kielelezo kibaya cha msichana wa kisasa. Thibitisha.
(Solved)
“Lowela tunapendana mno na ni msiri wangu wala hakuogopa kuniambia yaliyojiri.
(a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
(b) Fafanua ‘yaliyojiri’ kwa mujibu wa msemaji.
(c) Lowela ni kielelezo kibaya cha msichana wa kisasa.
Thibitisha.
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Ujenzi wa jamii mpya ni wajibu wa vijana. Thibitisha ukweli wa kauli hii ukirejelea riwaya ya Kidagaa Kimemwozea.
(Solved)
Ujenzi wa jamii mpya ni wajibu wa vijana. Thibitisha ukweli wa kauli hii ukirejelea riwaya ya Kidagaa Kimemwozea.
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Onyesha jinsi mbinu ya Taharuki imetumiwa katika Tamthilia ya kigogo
(Solved)
Onyesha jinsi mbinu ya Taharuki imetumiwa katika Tamthilia ya kigogo
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili maudhui ya siasa katika Tamthilia ya kigogo
(Solved)
Jadili maudhui ya siasa katika Tamthilia ya kigogo
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili kwa kina sifa zozote tano zinazokitambulisha Kiswahili kama lugha ya kibantu
(Solved)
Jadili kwa kina sifa zozote tano zinazokitambulisha Kiswahili kama lugha ya kibantu.
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili juhudi za TUKI katika kuendeleza na kustawisha Kiswahili katika ukanda wa Afrika Mashariki.
(Solved)
Jadili juhudi za TUKI katika kuendeleza na kustawisha Kiswahili katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza nafasi ya makundi yafuatayo katika ama kukua au kudhoofika kwa Kiswahili nchini Kenya kabla ya uhuru. (a) Watawala (b) Wamisheni (c) Walowezi
(Solved)
Eleza nafasi ya makundi yafuatayo katika ama kukua au kudhoofika kwa Kiswahili nchini Kenya kabla ya uhuru.
a) Watawala
b) Wamisheni
c) Walowezi
(alama 15)
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili aina tatu za ‘maana’ huku ukizitolea mifano kutoka Kiswahili.
(Solved)
Jadili aina tatu za ‘maana’ huku ukizitolea mifano kutoka Kiswahili.
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Na ujenge nyumba yako, jingi jasho likuoshe,Ufyeke, upime na uweke nguzo,Kisha paa uweke na ukandike,Siku nyingi bila kuingiliwa na mgeni hutakaa.Wataanza kutalii mpaka mende usiku,Nje...
(Solved)
1. Na ujenge nyumba yako, jingi jasho likuoshe,
Ufyeke, upime na uweke nguzo,
Kisha paa uweke na ukandike,
Siku nyingi bila kuingiliwa na mgeni hutakaa.
Wataanza kutalii mpaka mende usiku,
Nje na ndani ya nyumba watazunguka,
Bila woga, bila ruhusa ulichonacho watakula,
Masalia yatakuwa yako, ijara ya kaziyo.
Na nyingi dawa uweke, nyumba nzima uihame,
Ukae nje nzima siku usubiri,
Wazima wamelala ukirudi usiku,
Vichwa vigumu hawafi mende rahisi.
Kifo cha mende sharti miguu juu
Kichwa ukikanyage kipasuke usikie,
Na kisha wengine usiku mchana uwasake.
Mpaka watakapokwisha. Usiseme nao.
Maswali
(a) (i) Hili ni shairi la aina gani? (alama 1)
(ii) Tetea jibu lako. (alama 3)
(b) Eleza jinsi mshairi alivyoutumia uhuru wake katika utunzi wa shairi hili. (alama 4)
(c) Taja mbinu mbili za lugha alizotumia mshairi na uzitolee mifano. (alama 4)
(d) Andika ubeti wa tatu kwa lugha nathari. (alama 4)
(e) Eleza ujumbe wa mshairi. (alama 2)
(f) Toa mfano mmoja wa mshata. (alama 1)
(g) Kichwa gani kinaliafiki shairi hili? (alama 1)
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
(a) Katika jamii huwa wakati mwingine kuna matumizi ya lugha isiyo ya kistaarabu.taja mifano mitano ya lugha ya sampuli hiyo. ( alama 5)
(b) Taja mambo matano...
(Solved)
(a) Katika jamii huwa wakati mwingine kuna matumizi ya lugha isiyo ya kistaarabu.taja mifano mitano ya lugha ya sampuli hiyo. ( alama 5)
(b) Taja mambo matano yanayoathiri jinsi tunavyoweza kutumia lugha katika jamii(mtindo nafsi na mtu)
MAJIBU
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
(a) Eleza maana ya istilahi zifuatazo za isimu jamii.
i) Lafudhi
ii) Lahaja
iii) Rejesta
Taja sifa nne za sajili ya wanasiasa (alama 4)
(Solved)
(a) Eleza maana ya istilahi zifuatazo za isimu jamii.
i) Lafudhi
ii) Lahaja
iii) Rejesta
Taja sifa nne za sajili ya wanasiasa (alama 4)
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Mifano miwili ya fomyula ya ufunguzi wa hadithi
(Solved)
Mifano miwili ya fomyula ya ufunguzi wa hadithi
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza vigezo vya kutumia katika uchambuzi wa lugha
(Solved)
Eleza vigezo vya kutumia katika uchambuzi wa lugha
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili ufaafu wa anwani "kigogo" katika tamthilia ya kigogo
(Solved)
Jadili ufaafu wa anwani "kigogo" katika tamthilia ya kigogo
Date posted:
April 29, 2018
.
Answers (1)
-
(a) Nini maana ya kufa kwa lugha. (b) Eleza sababu zozote tano zinazochangia kufa kwa lugha
(Solved)
(a) Nini maana ya kufa kwa lugha.
(b) Eleza sababu zozote tano zinazochangia kufa kwa lugha.
(c) Taja aina tatu za makosa ya lugha.
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
1. Eleza maana ya istilahi hii: Usanifishaji 2. Eleza mambo manne yaliyochangia maenezi ya kiswahili kabla ya uhuru.
(Solved)
1. Eleza maana ya istilahi hii: Usanifishaji
2. Eleza mambo manne yaliyochangia maenezi ya kiswahili kabla ya uhuru.
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
Tamaa inatawala katika Tamthilia ya Kigogo. Dhibitisha
(Solved)
Tamaa inatawala katika Tamthilia ya Kigogo. Dhibitisha
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili maudhui ya utabaka katika tamthilia ya Kigogo
(Solved)
Jadili maudhui ya utabaka katika tamthilia ya Kigogo.
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
Ichambue jalada ya tamthilia ya Kigogo
(Solved)
Ichambue jalada ya tamthilia ya Kigogo
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza tofauti kati ya malumbano ya utani na mawaidha
(Solved)
Eleza tofauti kati ya malumbano ya utani na mawaidha
Date posted:
April 27, 2018
.
Answers (1)