? Hutolewa mbele ya hadhira.
? Uigizaji huhitaji mandhari maalum ya utendaji.
? Hufungamana na shughuli za jamii kama vile mtambaji wa hadithi na sherehe za miviga kama jando, harusi na matanga.
? Sharti kuwe na tendo la kuigiza ambalo lina matendo ya watu na viumbe wengine kwa nia ya kuelimisha, kukashifu, kusifu na kuburudisha.
? Waigizaji wanavaa maleba yanayooana na hali wanayoigiza.
? Maigizo huigiza hali ya maisha ya jamii; kisiasa, kiuchumi na kitamaduni kwa nia ya kuonyesha mafanikio, udhaifu na migogoro katika nyanja za maisha.
? Huwa na muundo mahususi na mtiririko wa matukio tangia mwanzo ukuzaji wa migogoro, kilele na usuluhishaji.
? Maigizo yaweza kuandamana na ngoma, pamoja na uimbaji au ukariri wa tungo za kishairi.
kalvinspartan answered the question on July 24, 2018 at 11:22
-
Taja vipera vya maigizo vinne
(Solved)
Taja vipera vya maigizo vinne
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili tarihi katika fasihi simulizi
(Solved)
Jadili tarihi katika fasihi simulizi.
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Nini maana ya shajara?
(Solved)
Nini maana ya shajara?
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Visasili huchangia vipi katika jamii
(Solved)
Visasili huchangia vipi katika jamii.
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Mighani huwa na umuhimu upi katika jamii
(Solved)
Mighani huwa na umuhimu upi katika jamii.
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Taja sifa zozote tano za mighani
(Solved)
Taja sifa zozote tano za mighani.
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya kidahizo au mchapo
(Solved)
Eleza maana ya kidahizo au mchapo.
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Nini sifa za udhubahi
(Solved)
Nini sifa za udhubahi.
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Ngano za kichimbakazi au udhubahi ni zipi
(Solved)
Ngano za kichimbakazi au udhubahi ni zipi
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Taja sifa nne za mbazi
(Solved)
Taja sifa nne za mbazi.
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya mbazi au Vigano
(Solved)
Eleza maana ya mbazi au Vigano.
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
taja sifa tano za soga
(Solved)
taja sifa tano za soga
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya soga katika fasihi simulizi
(Solved)
Eleza maana ya soga katika fasihi simulizi
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Fafanua maana ya istiara
(Solved)
Fafanua maana ya istiara
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Sifa za ngano za mtanziko
(Solved)
Sifa za ngano za mtanziko
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Ngano za mitanzuko ni nini
(Solved)
Ngano za mitanzuko ni nini
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Ngano za usuli huwa na umuhimu upi katika jamii
(Solved)
Ngano za usuli huwa na umuhumu upi katika jamii
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Taja sifa nne za ngano za usuli
(Solved)
Taja sifa nne za ngano za usuli
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Nini maana ya ngano za usuli?
(Solved)
Nini maana ya ngano za usuli?
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Ngano za mazimwi huwa na umuhimu upi katika jamii kwa ujumla?
(Solved)
Ngano za mazimwi huwa na umuhimu upi katika jamii kwa ujumla?
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)