Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Jadili maana ya malumbano ya utani

Jadili maana ya malumbano ya utani.

Answers


KELVIN
Ni kufanyiana dhihaka ili kuchekesha watu. Wanajamii wanaweza kutaniana kwa namna ifuatayo:
Utani wa mababu/mabibi na wajukuu.
Utani wa marafiki.
Utani wa ukoo /makabila.
Utani wa rika moja.

kalvinspartan answered the question on July 24, 2018 at 11:24

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions