Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Eleza madhumuni ya maapizo katika jamii

Eleza madhumuni ya maapizo katika jamii.

Answers


kelvin
1. Kimsingi, maapizo hutumiwa kama nyenzo ya kawaonya wanajamii dhidi ya matendo hasi
2. Hutambulisha jamii, kila jamii ina namna yake ya kuapiza, na mitindo tofauti ya kutoa maapizo.
3. Hukuza umoja katika jamii, kuweka na kaida au miiko sawa huwafanya watu kujihisi kuwa kitu kimoja.
4. Huadilisha, wanajamii hujifunza kutenda mema ili kuepuka laana.

kevowmuchiri answered the question on July 24, 2018 at 12:03

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions