Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Vinasasauti vinatumika kuhifadhi data ya fasihi kwa sababu gani

Vinasasauti vinatumika kuhifadhi data ya fasihi kwa sababu gani.

Answers


KELVIN
a. Sauti ya mhojiwa /fanani huweza kuhifadhiwa.
b. Sifa ya uhai wa fasihi simulizi huhifadhiwa kwani kinasasauti hunasa sifa kama vile za kidatu,toni na kiimbo cha mtambaji.
c. Mkusanyaji wa fasihi simulizi anaweza kurudia kusikiliza uwasilishaji au mahojiano iwapo hakuelewa .sifa hii haipatikani katika maandishi.

kalvinspartan answered the question on August 5, 2018 at 12:58

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions