Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Filamu zina changamoto kadhaa ambazo hutatiza matumizi yake kuhifadhi fasihi

Filamu zina changamoto kadhaa ambazo hutatiza matumizi yake kuhifadhi fasihi.

Answers


KELVIN
a) Ni njia ghali ya kuhifadhi data
b) Data hii huweza kufisidiwa, hivyo kutofaidi waliolegwa
njia nyingine za kisasa ambazo hutumiwa kuhifadhia na kuendeleza fasihi simulizi ni;
i. Diski za kompyuta: mdaki, diski mweko (hard disk), kadi simaki (memory card) kadiwia/mkamimo(flash disk)
ii. Magazeti k.m hadithi huandikwa mara nyingine gazetini.
iii. Michezo ya kuigiza inayopeperushwa moja kwa moja kupitia runinga na redio na mashirika ya uigizaji
iv. Tamasha za muziki zinazofanywa shuleni kila mwaka.

kalvinspartan answered the question on August 5, 2018 at 13:02

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions