Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Toa mifano miwili ya taswira kama ilivyotumika katika hadithi fupi ya mke wangu

      

Toa mifano miwili ya taswira kama ilivyotumika katika hadithi fupi ya mke wangu.

  

Answers


KELVIN
? Fedhele salim kuvaa kanzu mpaka mapajani.-kuonyesha uigaji wa utamaaduni wa kigeni.
? Salma Fadhil kujifunika uso na kujiremba marangi ya mAshavu na midomo-kuonyesha utamaaduni. Kinaya ni kuwa msimulizi anakataa utamaaduni ilhali yeye anaufuata kama vile kuchaguliwa mke na anaishia kuoa Aziza aliye mtamaaduni.
? Alinionyesha viganja vyake nikaona namna ngozi yake ilivyokacha utadhani msasa.


kalvinspartan answered the question on August 15, 2018 at 12:28


Next: Onyesha jinsi nahua na methali zimetumika katika hadithi fupi ya mke wangu kwa kutoa mifano
Previous: What is basal metabolic rate?

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions