📘 Access 10,000+ CBC Exams With Marking Schemes

Prepare your learners for success! Get CBC-aligned exams for Grades 1–9, PP1–PP2, Playgroup and High School - all with marking schemes.

Browse Exams

Instant download • Trusted by 100,000+ teachers • Updated weekly

Kis 221: Kiswahili Morphology Question Paper

Kis 221: Kiswahili Morphology 

Course:Bachelor Of Arts

Institution: Moi University question papers

Exam Year:2015



1.Jadili nafasi ya mofolojoa Katika isimu peke ya kiswahili.
2.Utetee ubantu wa kiswahili kwa kuzingatia hoja nne za kimofolojia.
3.Itathmini hoja ya Myachina(1981) kuwa hakuna vielezi katika kiswahili.
4.Eleza jinsi mabadiliko yafuatayo ya kimofofonemiki yanavyodhihirika katika kiswahili.
i)Kuafikiana kwa vokali
ii)Ukakayesho
iv)Udondoshaji
v)Kuathiriwa kwa nazali
5.Jadili jinsi mbinu zifuatazo zinavyotumika katika kuimarisha msamiati wa kiswahili.
i)Ukopaji
ii)Mwambatanisho
iii)Upanuzi wa maana
iv)Ufupishaji
6.a)Eleza dhana "kivumishi".
b)Jadili aina nne za vivumishi katika kiswahili.
7.Jadili aina za mofu zinazopatikana kwenye mapengo ya 2,4,5 na 9 katika vitezi vya kiswahili.






More Question Papers


Exams With Marking Schemes

End Term 3 Exams

Mid Term Exams

End Term 1 Exams

Opener Exams

Full Set Exams



Return to Question Papers