Get premium membership and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.

Form 4 Term 2 102/1 Kiswahili Karatasi Ya 1 Question Paper

Form 4 Term 2 102/1 Kiswahili Karatasi Ya 1 

Course:Kiswahili

Institution: Form 4 question papers

Exam Year:2016



KENYA CERTIFICATE OF SECONDARY EDUCATION 2016
PRE MOCK 1 – 2016
MUDA: 13/4
MAAGIZO

(a) jibu maswali mawili
(b) Swali la kwanza ni lazima. Changua swali la pili kutoka hayo matatu yaliyosalia
(c) Insha yako isipungue maneno 400


1. Wewe ni Rais wa nchi. Umepokea habari kuwa abiria wengi wameangamia katika ajali
Ya barabara. Andika risala kwa familia husika ukifafanua vyanzo na suluhisho za ajali hizo.

2. Jadili madhara ya unywaji pombe miongoni mwa raia.
3. Jitihada haiondoi kudura

4. Andika insha itakayoisha kwa ……………….sikuwa nimefikiwa na masaibu kama hayo maishani mwangu.






More Question Papers


Popular Exams



Return to Question Papers