Get premium membership and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.

Aks 303: Contemporay Kiswahili Novel And Play Question Paper

Aks 303: Contemporay Kiswahili Novel And Play 

Course:Bachelor Of Education Arts

Institution: Kenyatta University question papers

Exam Year:2005



KENYATTA UNIVERSITY
SECOND SEMESTER EXAMINATION FOR THE DEGREE OF BACHELOR OF ARTS

AKS 303: CONTEMPORARY KISWAHILI NOVEL AND PLAY

Jibu swali moja kutoka kila sehemu

SEHEMU YA A

1. "Fasihi ni kioo cha jamii." Jadili kauli hii kwa kurejelea tamthilia moja na riwaya moja.

SEHEMU YA B

2. Jadili kwa tafsili umuhimu wa nchi ya Walenisi katika kuendeleza maudhui ya riwaya ya Walenisi (Katama Mkangi)

3. Huku ukirejelea matukio yoyote manne ya uhalisiajabu, fafanua nafasi ya Babu katika kufanikisha dhamira kuu ya mwandishi katika Babu Alipofufuka (S. A. Mohamed)

4. "Burhani (Mwisho ya Kosa) anaukwepa uhalisi na badala yake anayalazimisha mabadiliko katika wahusika wapotovu ili kukidhi mielekeo ya kidini." Jadili

SEHEMU YA C.

5. Jadili nafasi ya Mwelusi katika kuendeleza maudhui ya ukombozi katika tamthilia ya Kifo Kisimani (Kithaka Mberia).

6. Kwa kuwarejelea wahusika mbalimbali katika tamthilia ya Mama Ee (A. Mwachofi), tathmini maoni kwamba "hii ni dunia ya wanaume, dunia ya mawi".






More Question Papers


Popular Exams



Return to Question Papers