Get premium membership and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.
Got a question or eager to learn? Discover limitless learning on WhatsApp now - Start Now!

Kis 421: Comparative Literature In Kiswahili Question Paper

Kis 421: Comparative Literature In Kiswahili 

Course:Bachelor Of Arts

Institution: Moi University question papers

Exam Year:2013



KIS 421: COMPARATIVE LITERATURE IN KISWAHILI

Mtihani huu una sehemu nne: A,B,C,D.Jibu maswali manner tu, swali moja kutoka kila sehemu.

SEHEMU A: TAMTHILIA
1. Linganisha maswala yanayoangaziwa katika tamthilia za kiswahili za miaka ya 1950 na zile za miaka ya 1980.

2. Teua wahusika wawili katika tamthilia ulizozisoma na ulinganishe sofa zao na misukosuko waliyopitia.


SEHEMU B: RIWAYA

3. Chagua riwaya zozote mbili ulizozisoma na ulinganishe jinsi swala LA mwanamke linavyoangaziwa.

4. Linganisha maudhui yanayojitokeza katika riwaya za kiswahili za miaka ya 1960 na zile za miaka ya 1970.


SEHEMU C: HADITHI FUPI

5. Linganisha sofa za kimsingi kati ya hadithi fupi za kale na za kisasa. Toa mifano mahususi.

6. Changanua hadithi moja ya kale na moja ya kisasa na ulinganishe;

a) msuko wa matukio
b) matumizi ya lugha

SEHEMU D: USHAIRI

7. "Lugha ya mashairi ya kale(kabla karne ya ishirini) na ya kisasa, inatofautiana". Fafanua.

8. Chunguza miundo ya mashairi haya na ulinganishe:
Mshenzi(Said A. Mohammed) na Siri(Hassan Mwalimu Mbega)






More Question Papers


Popular Exams



Return to Question Papers