Get premium membership and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.
Got a question or eager to learn? Discover limitless learning on WhatsApp now - Start Now!

Aki 201 : Theory And Standardisation Of Kiswahili Question Paper

Aki 201 : Theory And Standardisation Of Kiswahili 

Course:Bachelor Of Education (Arts)

Institution: Maseno University question papers

Exam Year:2018



MASENO UNIVERSITY
UNIVERSITY EXAMINATIONS 2017/2018

SECOND YEAR FURST SEMESTER EXAMINATION FOR
THE DEGREE OF BACHELOR OF EDUCATION ARTS WITH INFORMATION TECHNOLOGY

MAIN CAMPUS

AKI 201:THEORY AND STANDARDIZATION OF KISWAHILI


Date:13th February, 2018 Time:3.30-6.30pm

MAAGIZO
•JIBU MASWALI MATATU.Swala la kwanza ni la lazima


1.Zifafanue sababu za kusanifisha lugha (al 26)

2.Eleza mchango wa serikali katika ufanikishaji wa usanifishaji wa lugha (al 22)

3.Eleza hatua nne za nadharia ya usanifishaji ya Haugen. (Al 22)

4.Onyesha sababu zilizofanya kiunguja kuchaguliwa kama msingi wa usanifishaji wa kiswahili. (Al 22)

5.Yafafanue majukumu yaliyopewa kamati ya Lugha ya Afrika Mashariki ya mwaka 1930 (al 22)






More Question Papers


Popular Exams



Return to Question Papers