Get premium membership and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.

Kis 212 Phonology In Kiswahili Question Paper

Kis 212 Phonology In Kiswahili 

Course: Bachelor Of Education

Institution: Rongo University question papers

Exam Year:2018



Jibu swali la kwanza na mengine mawili

1.Fafanua kisha ueleze kwa kutoa mifano tofauti iliyopo baina ya dhana zifuatazo
a.Foni na Fonimu(al10)
b.Jozi mlinganuo finyu na mpashio guru(al10)
c.Eleza sifa na dhima ya shadda katika kiswahili sanifu(al10)


2.a.Shadda inaweza kudhihirika katika viwango kadhaa vya lugha.Fananua kwa kutoa mifano maalum ya kiswahili (al8)

b.Eleza sita na dhima ya shadda katika kiswahili sanifu (al12)

3.Fonetiki na fonolojia ni taaluma zinazofanana na kutofautiana.Jadili(al20)

4.a.Eleza aina zozote tank za silabi (al10)
b.Fafanua mitazamo mitatu ya kueleza silabi kwa mujibu wa nadharia ya kimapokeo(al10)

5.Huku ukitolea mifano,bainisha aina zozote NNE za mifanyiko ya kifonolojia (al20)






More Question Papers


Popular Exams



Return to Question Papers