Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Elezea maana ya lafudhi na sababu za kuwa nazo

      

Elezea maana ya lafudhi na sababu za kuwa nazo.

  

Answers


Cyril
Lafudhi ni upekee wa mtu kuzungumza au jinsi anavyo zungumza,nimatamshi ya mzungumzaji yanayojitokeza kutokana na athari za lugha yake ya kwanza.
mfano:ria badala ya lia.
papa badala ya baba.

sababu za Kuwa na Lafudhi.
.Athari ya lugha zingine zinazomzunguka mzungumzaji.
.Athari ya lugha ya mama au sehemu anayotoka.
.kasoro inayotokea Katika ala za matamshi za mzungumzaji.
patmalone254 answered the question on August 27, 2018 at 19:56


Next: Outline the Rationale of Economics of Education
Previous: Nini sababu zinazochangia kuwepo Kwa uwingi lugha?

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions