Get premium membership and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.

Lswa 105:Historia Ya Kiswahili Question Paper

Lswa 105:Historia Ya Kiswahili 

Course:Education

Institution: Kenya Methodist University question papers

Exam Year:2013



CHUO KIKUU CHA KIMETHODISTI, KENYA

MTIHANI WA MWISHO WA TREMESTA YA KWANZA, 2013
KITIVO : ELIMU NA SAYANSI YA JAMII
IDARA : ELIMU
KODI : LSWA 105
ANWANI : HISTORIA YA KISWAHILI
MUDA : SAA MBILI




Maagizo:

Swali la Kwanza
’Kiswahili ni lugha ya kiarabu’. Jadili nadharia tete hii huku ukionyesha mihimili na udhaifu wake. (Alama 20)

Swali la Pili
Kwa kujikita katika misingi ya kiisimu thibitisha kwamba Kiswahili ni lugha ya kibantu. (Alama 20)

Swali la Tatu
Fafanua mambo yoyote manne yaliyochangia maenezi ya lugha ya Kiswahili katika Afrika Mashariki. (Alama 20)

Swali la Tatu

Eleza maana ya usanifishaji wa lugha.

(2 Marks)


Yadokeze majukumu manne yaliyopendezekezwa kushughulikiwa na Baraza la lugha la Afrika Mashariki (ITLC) mwaka wa 1930.

(Alama 4)


Fafanua hali iliyopelekea Kiswahili kuyumba nchini Uganda wakati wa Ukoloni.

(Alama 12)

Swali la Tano

Ukirejelea lahaja tatu Kinzani, eleza mvutano uliokumba uteuzi wa lahaja ya usanifishaji.

(Alama 15)


Eleza maana ya sera ya lugha na udhihirishe hatua nne zilizodokezwa na Hugen (1966) za upangaji lugha.

(alama 5)






More Question Papers


Popular Exams



Return to Question Papers