Get premium membership and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.

Lswa 105:Historia Ya Kiswahili Question Paper

Lswa 105:Historia Ya Kiswahili 

Course:Elimu

Institution: Kenya Methodist University question papers

Exam Year:2011



FACULTY : EDUCATION & SOCIAL SCIENCES

DEPARTMENT : EDUCATION AND PRE-UNIVERSITY

TIME : 2 HOURS

MAAGIZO Jibu maswali MATATU swali la KWANZA ni la LAZIMA


Swali 1

a) Taja nadharia tatu mahususi zinazorejelea chanzo cha Kiswahili (alama3)

b) Taja na utofautishe asili tatu za waswahili (alama6)

c) Elezea vigezo saba vilivyotumika kumtambulisha mswahili (alama14)


Swali 2

a) Huku ukitoa mifano mwafaka kutoka lahaja za Kiswahili, fafanua aina nne tofauti zinazojitokeza katika lahaja za lugha moja (alama8)

b) Taja lahaja zozote tano za Kiswahili na uonyeshe mahali zinapopatikana katika mwambao wa Afrika Mashariki (alama10)


Swali 3

Bainisha sababu zozote sita zilizoimarisha maenezi ya Kiswahili nchini Tanzania (alama18)


Swali 4

Pambanua hoja zozote sita zinazodhihirisha umuhimu wa Kiswahili katika kutekeleza nadhumuni ya taifa la Kenya (alama18)


Swali 5

Tathmini hoja zozote sita zinazoipa lugha ya Kiswahili nafasi ya kati katika kutekeleza madhumuni ya muungano wa jumuiya ya Afrika Mashariki. (alama18)






More Question Papers


Popular Exams



Return to Question Papers