Get premium membership and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.

Lswa 105:Historia Ya Kiswahili Question Paper

Lswa 105:Historia Ya Kiswahili 

Course:Elimu

Institution: Kenya Methodist University question papers

Exam Year:2011



FACULTY : EDUCATION & SOCIAL SCIENCES

DEPARTMENT : EDUCATION AND PRE-UNIVERSITY

TIME : 2 HOURS

MAAGIZO Jibu Swali la Kwanza na mengine yoyote mawili kutoka yale yaliyosalia


Swali 1

a) Nini maana ya lahaja (alama2)

b) Taja lahaja zozote mbili za bara (alama2)

c) Toa tofauti zozote nne za kimatamshi kati ya Kiswahili sanifu na kimvita. (alama4)

d) Fafanua mchango wa tume ya Mackay katika kuendeleza Kiswahili nchini Kenya. (alama5) e) Kwa nini mapendekezo ya tume ya Koech hayajatekelezwa mpaka sasa. (alama2)

f) Toa mbinu zozote tano za uundaji wa istilahi. (alama5)


Swali 2

Kiswahili ni lugha ya kibantu. Jadili. (alama20)


Swali 3

Nchini Tanganyika wamishonari walikuwa na mchango mkubwa katika maenezi ya Kiswahili. Kuzingatia mifano mbalimbali fafanua kauli hii. (alama20)


Swali 4

a) Ni nini maana ya usanifishaji. (alama2)

b) Fafanua sababu za usanifishaji. (alama8)

c) Tathmini mafanikio na matatizo ya kamati ya usanifishaji ya Kiswahili (ILC) (alama10)


Swali 5

Elezea jinsi Kiswahili kinavyoweza kuimarisha umoja katika Afrika mashariki na kati. (alama20)






More Question Papers


Popular Exams



Return to Question Papers