Get premium membership and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.

Lswa 105:Historia Ya Kiswahili Question Paper

Lswa 105:Historia Ya Kiswahili 

Course:Elimu

Institution: Kenya Methodist University question papers

Exam Year:2013



CHUO KIKUU CHA KIMETHODISTI, KENYA

MTIHANI WA MWISHO WA TREMESTA YA KWANZA, 2013

(MASOMO YA LIKIZO)
KITIVO : ELIMU NA SAYANSI YA JAMII
IDARA : ELIMU
KODI : LSWA 105
ANWANI : HISTORIA YA KISWAHILI
MUDA : SAA MBILI




MAAGIZO:

Jibu maswali yoyote matatu

Swali la Kwanza

Eleza asili ya neno Kiswahili.

(alama 5)


Watafiti wa Kiswahili, kama vile Mbaabu (1985:1) wanasema kuwa kuna Waswahili wa aina tatu. Fafanua kauli hii.

(alama 15)

Swali la Pili
Toa ushahidi wa kihistoria unaothibitisha kuwa Kiswahili ni lugha asili ya Kibantu. (alama 20)

Swali la Tatu
Eleza mambo yaliyochangia hali bora ya Kiswahili nchini Tanganyika ikilinganishwa na Kenya na Uganda (alama 20)

Swali la Nne
Taja na ueleze sababu zinazosababisha Kiswahili kuwa na nafasi finyu nchini Uganda kuliko ilivyo katika nchi ya Kenya na Tanzania. (alama 20)

Swali la Tano

Eleza maana ya ’usanifishaji.’

(alama 4)


Taja na ueleze sababu nne za usanifishaji wa Kiswahili.

(alama 16)






More Question Papers


Popular Exams



Return to Question Papers