Get premium membership and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.
Got a question or eager to learn? Discover limitless learning on WhatsApp now - Start Now!

Lswa 105:Historia Ya Kiswahili Question Paper

Lswa 105:Historia Ya Kiswahili 

Course:Elimu

Institution: Kenya Methodist University question papers

Exam Year:2013



CHUO KIKUU CHA KIMETHODISTI, KENYA

MTIHANI WA MWISHO WA TREMESTA YA PILI, 2013

(Mchana)
KITIVO : ELIMU NA SAYANSI YA JAMII
IDARA : ELIMU
KODI : KISW 105/LSWA 105
ANWANI : HISTORIA YA KISWAHILI
MUDA : SAA MBILI




Maagizo:

Jibu maswali matatu

Swali la Kwanza.

Lahaja ni nini?

(al. 2)

Lahaja huzuka vipi?

(al. 5)

Taja lahaja kumi za Kiswahili na kule zinakozungumzwa.

(al. 5)

Eleza sababu za kukisanifisha Kiswahili.

(al. 8)

Swali la Pili

Eleza mchango wa waarabu na waingereza katika kukieneza Kiswahili.

(al. 10)

Waarabu waliacha athari gani katika lugha ya Kiswahili?

(al. 10)

Swali la Tatu
Eleza harakati zinazofanywa na wataalamu wa lugha ya Kiswahili kukikuza Kiswahili ili kitosheleze mahitaji ya mawasiliano katika ulimwengu wa sasa. (al. 20)

Swali la Nne

Sera ya lugha ni nini?

(al. 2)

Linganisha sera za lugha za Kenya, Tanzania na Uganda.

(al. 18)

Swali la Tano

Huku ukitoa mifano eleza maana ya:

(al. 6)

Lingua franka
Lugha rasmi
Lugha ya taifa

Kiswahili ni lugha ya kimataifa. Jadili kauli hii ukirejelea mifano mahsusi.

(al. 14)






More Question Papers


Popular Exams



Return to Question Papers