Get premium membership and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.

Kisw 321 :Elimu Na Sayansi Ya Jamii  Question Paper

Kisw 321 :Elimu Na Sayansi Ya Jamii  

Course:Education

Institution: Kenya Methodist University question papers

Exam Year:2014



CHUO KIKUU CHA KIMETHODISTI, KENYA

MTIHANI WA MWISHO WA TREMESTA YA TATU, 2014

(MCHANA)
KITIVO : ELIMU NA SAYANSI YA JAMII
IDARA : ELIMU
KODI : KISW 321
ANWANI : MBINU ZA UTAFITI
MUDA : SAA MBILI




Maagizo

Jibu Maswali yoyote Matatu

Swali la Kwanza

Utafiti hutekelezwa kwa malengo kadha. Fafanua mawili kati ya malengo hayo.

(Al 4)

Utaratibu katika utafiti huhusisha hatua maalum. Eleza nne kati ya hatua hizo.

(Al 8)

Eleza umuhimu wa utafiti wa lugha na fasihi.

(Al 8)

Swali la Pili

Eleza tofauti tatu kuu kati ya utafiti was kiusomi na utafiti wa jumla.

(Al 6)

Ili kufanikisha utafiti wa nyanjani matayarisho ni muhimu kwa utafiti. Fafanua kauli hii ukirejelea matayarisho yoyote saba.

(Al 14)

Swali la Tatu

Fafanua dhana zifuatazo:

Utafiti wa kihistoria

(Al 2)

Utafiti wa kihalisia

(Al 2)

Utafiti wa kifasihi

(Al 2)

Fafanua changamoto zozote saba zinazomkabili mtafiti wa nyanjani ukitoa pendekezo moja la kutatua kila changamoto.

(Al 14)

Swali la Nne
Linganisha utafiti wa nyanjani na ule wa maktabani ukirejelea ubora wa udhaifu wa kila mmojawapo. (Al 20

Swali la Tano
Fafanua tofauti kumi zilizoko kati ya pendekezo la utafiti na ripoti ya utafiti. (Al 20)






More Question Papers


Popular Exams



Return to Question Papers